Habari Wana jamvi,
Hii simu (nimeichukua kwa mtu hivi karibuni),TECNO POUVilER 3 AIR hai_connect USB port katika PC na Wala HAKUNA notification yoyote; Ina Soma km charger tu na inachaji vyema kabisa
Je, ndivyo zilivyo kwa maana Ni download driver katika PC ama itakua System imekufa katika simu ibadilishwe?
Hii simu (nimeichukua kwa mtu hivi karibuni),TECNO POUVilER 3 AIR hai_connect USB port katika PC na Wala HAKUNA notification yoyote; Ina Soma km charger tu na inachaji vyema kabisa
Je, ndivyo zilivyo kwa maana Ni download driver katika PC ama itakua System imekufa katika simu ibadilishwe?