TEC Ina nguvu duniani kote waraka wao usipuuzwe

Ndivyo ulivyodanganywa kwenye kigango chako?

TEC wakusanyike pale Mwembe Yanga,halafu Mwamposa Mmoja awe Tamlnganyika Packers
Hata wakatoliki wataenda kwa Mwamposa.

Hapo sijamtaja Mwingila,sijamtaja Lusekelo,Sijawataja wachungajinwengine.
Halafu unakuja hapa na njaa zako kwamba TEC wana nguvu.
Hao wana ushawish in person..hawna taasisi zenye nguvu
 
Kwa wale mnaoijua nguvu ya roman Catholic duniani.

Papa wa Roma ana nguvu sanaa Kwa wafadhili wetu huko duniani. Kingine Cha kujitafakarisha kuwa TEC kwanini wameamua kujilipua bila woga wowote ule. Nini kipo nyuma yake?

Au ni bomu limetegwa?
Hiyo ilikuwa zamani!na hiyo mindset ndio inazidi kuporomoa kanisa katoliki kwa waumini kutimkia madhehebu mengine ya kina Mwamposa.kwa mfano hili la bandari ,waraka umefeli kabla hata haujasomwa! Kwakuwa walijiona Supreme kuwa wakifanya wenyewe watavuruga nchi na madhehebu mengine yatawassuport,but all failed completely.nishauri kanisa lijikite katika kujenga imani kwa waumini, hii imekuwa test kubwa ya kuassess supremacy ya kanisa katoliki , waache serikali iendelee na mipango yake ya kuongeza uchumi,ambapo uchumi unapokuwa na kanisa hilo hilo linategemes hayo mapato yarudi kwa wananchi/waumini yakaendeleze makanisa.ni kama unakata mkono unaokulisha.
 
Huyu mama anafanya maamuzi makubwa akijua fika hakuchaguliwa kwenye nafasi hiyo kwa kura za wananchi, yaani ni rais wa ngekewa.

Baada ya kuona reaction ya wananchi na makundi mbalimbali ya kijamii bado ameendelea kukaza fuvu.

Nchi za wenzetu kiongozi akipata upinzani mkubwa wa kisiasa kuhusu kutekeleza jambo fulani anaitisha uchaguzi wa mapema kutafuta kuungwa mkono, huyu naona kaamua kutafuta uungwaji mkono wa dini yake....yetu macho na masikio.​
ile kauli yake ya 'nimenyamaza na nitaendelea kunyamaza' ni ya hovyo sana.

sisi hatutaki rais anaenyamaza anatakiwa achukue hatua au apishe hiyo nafasi haimtoshi. kunyamaza ni dalili ya kibri au depression - akapimwe labda anaumwa.

yaani ananyamaza halafu anatuachia kina kitenge ndo waongelee huo mkataba wenye harufu chafu ya rushwa?
 
Wakioa tu akili zitawarudia.
Wewe unawaza ngono wao wamewekeza kwenye future!
Hiyo ngono ikisha kufyatua ndio utaujua msaada wao kukuandalia njia nyembamba!

Kwa sasa endelea na ujinga wako kwa muda na nguvu zako.
Time will tell....
 
Wewe unawaza ngono wao wamewekeza kwenye future!
Hiyo ngono ikisha kufyatua ndio utaujua msaada wao kukuandalia njia nyembamba!

Kwa sasa endelea na ujinga wako kwa muda na nguvu zako.
Time will tell....
Mlipoua watu kule Rwanda mlikuwa mnaandaa future gani! Mlipoua wakristo mahali kadhaa duniani (rejea radhi iliyoombwa na Papa) mlikuwa mnaandaa future gani. Tulia dawa ikuingie vizuri, msituletee shida kwenye nchi yetu. Nendeni mkagawe komunio kazi ya kuongoza nchi iachieni serikali. Ngono!!! Narudia oeni akili ziwarudie maana ndio mnaoongoza kwa kutuletea watoto wa mitaani.
 
Watanzania (waislamu,kwa wakristo,wapagani) shitukeni Tanzania hakuna udini,Bali udini unaotangazwa ni mpango unaoratibiwa na kitengo Cha propaganda Cha CCM ili kutugawa kwa kigezo Cha Dini na wao ili wapite Kati Kati kututawala,kumbuka mwaka 2024 na 2025 ni miaka ya uchaguzi,kwa hiyo let's waliyoanza nayo ccm ni kete ya udini dhidi ya suala hili la bandari,kuanza kutugawa kidini ili iwarahisishie wao kutudhoofisha,wakati adui yetu ni DP world ,mpaka Sasa huwezi kusikia kiongozi wa CCM au serikali anakemea udini ,shtuka mtanzania,shtuka hao unaowaona Mara masheikh na wachungaji wanawaponda viongozi wenzao wa Dini hao ni mapandikizi ya mwendelezo na utekelezaji wa propaganda yenyewe inayosukwa na ccm
 
Vatican inatawala dunia na ni zaidi ya taasisi ya kidini, na ustawi wa jamii inaangazia pia usalama, uhuru wa kuabudu, siasa ,demokrasia ujasusi kinga, sheria biashara utamaduni nkknk
na ndio maana mpaka ina ma ambassadors nchi nyingi tu, kwa Africa mashariki Kama sijakosea ubaloz wao upo Kenya.

pili. halafu inawasomi haswaaaa, Padre hawezi kuwa Padre mpaka awe na angalau degree moja .
 
Ushamba mzigo sana. Dunia ipi mnaiongelea? TEC ipi ina nguvu duniani?

Ndo mana tukiwaambiaga mtokege huko kwenye kuchunga ng'ombe mnatuona tunawadharau.

Tafuteni exposure.
Ukweli mchungu sasa utafananisha TEC na bakwata wanaoomba serikali iwasaidie kununua kichungulia mwezi😁
 
Back
Top Bottom