Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 5,635
- 18,062
Hao wana ushawish in person..hawna taasisi zenye nguvuNdivyo ulivyodanganywa kwenye kigango chako?
TEC wakusanyike pale Mwembe Yanga,halafu Mwamposa Mmoja awe Tamlnganyika Packers
Hata wakatoliki wataenda kwa Mwamposa.
Hapo sijamtaja Mwingila,sijamtaja Lusekelo,Sijawataja wachungajinwengine.
Halafu unakuja hapa na njaa zako kwamba TEC wana nguvu.