exaud morrey
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 1,024
- 975
ni kwasababu katiba inawaruhusu nainawapa kingaUnadhani kila linaloamliwa na serikali limetokana na katiba?
Mengine ni ubabe wa viongozi
ni kwasababu katiba inawaruhusu nainawapa kingaUnadhani kila linaloamliwa na serikali limetokana na katiba?
Mengine ni ubabe wa viongozi
Tatizo mleta mada kaileta utafikili huo walaka nijaaambo kumbe hewa tupuIla na wao kama taasisi ya kitanganyika wanaweza kutoa maoni wanapooana Kuna jambo ndani ya Tanganyika halipo sawa
kwanini hukuandamana kuonyesha hisia zako?Wabunge wepi hao! Hawa wezi wa kura na waliopewa ubunge wa bure kwa maelezo ya kupita bila kupingwa.
Namshangaa ...heee Vatican ndo inaongoza dunia.mafile yako VaticanNani kakudanganya Vatican ni zaidi unavyo fikiri
TEC nfiyo mdudu gani?Duru ndani ya TEC hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.
"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."
"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."
"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Katiba ipi unayoizungumzia!?Hili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
ukiwa naakili kama zangu utaona waraka huo hauta badilisha jambo loloteUkiwa na akili kama wakatoliki lazima utaona tatizo na mkataba ule.
Rejea kile alichozungumza Padre Kitima ( PHd) leo na kipo kwenye mitandao ya Kijamii.Kwani katika uendeshaji wa nchi, hawa TEC ndio nani?. Tusichanganye dini na siasa, Maaskofu waendelee kuwahibiria watu habari Njema za kuwapeleka mbinguni.
Huu ni uchonganishi!, hupaswi kiandika kila unachosikia!, tanguliza kwanza maslahi ya taifa!.
P
Asante sana mungu akupe baraka na Busara zaidiHao ni wanafiki, mbona wakati wa hayati Magufuli yalifanyika kama haya na hata mabaya zaidi kama mauaji na ukatili wa akina Sabaya lakini mwendo wao ilikuwa ni "kuunga juhudi mkono".??
Hatutaki cheap politics.
Sasa wao kama kanisa walipoteza moral authority; na itabidi wafanye kazi kubwa sana kuirejesha.
Ukiondoa individuals wachache; kama akina askofu Bagonza, Mwamakula, Niwemugizi, Shoo na sheikh Ponda viongozi wengine wa Dino walionyesha rangi zao. Leo hatuwezi kuwapa nafasi, they must work hard to earn it.
Shida ya kusoma quraan na kudhani unaweza kuongoza sehem Kwa welediNdio maana kuna Bunge wabunge wakikubali nchi imekubali watu kama nyie kipindi cha kampeni hamsikilizagi sera mnaletaga ligi oooh mbele kwa mbele yakiwafika shingoni mnatuletea zozo tumewachoka
ya nchiKatiba ipi unayoizungumzia!?
Na Katiba hio hio inatoa Uhuru wa kuabudu na Uhuru wa Maoni, hapo vipi kwani ikiongozwa kikatoliki ndio itazuia Bandari isiuzwe ?!Hili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
Mwisho wayote Bunge ndio watanzania woote likikubali ndio tayali Democracy imetumika nionyeshe tec itasaidia nini hapoNa Katiba hio hio inatoa Uhuru wa kuabudu na Uhuru wa Maoni, hapo vipi kwani ikiongozwa kikatoliki ndio itazuia Bandari isiuzwe ?!
Ukatoliki unakunyima raha, eeh?? Pole sana ndugu, lakini hata wewe unaruhusiwa kufanya mafundisho na kubatizwa uwe mmoja wao!Hili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
Nchi hii imebakiza vichaa wachache sana wanofuata hizi dini zamajahaziUkatoliki unakunyima raha, eeh?? Pole sana ndugu, lakini hata wewe unaruhusiwa kufanya mafundisho na kubatizwa uwe mmoja wao!
Kaa na upagani wako ukijidanganya we ndo uko sahihi!! Ukitarajia utitiri wa watu tulivyo diniani sote tuwe na akili duni kama yako umenoa!!Nchi hii imebakiza vichaa wachache sana wanofuata hizi dini zamajahazi
pole ndugu yangu
Watu wangapi waliopotezwa kwa idadi?Naona sasa ni muda wa nyoka kutoka shimoni....
Awamu ile watu walipokuwa wanapotezwa walikuwa wako kimya kweli.
Wengine walifunga hadi safari kwenda magogoni kupeleka zawadi za sanamu ya bikira Maria.
Mnajifanya watu wamungu kumbe unafiki mtupu mahilizi machale matakataka yote mnayo ninyi mnaojifanya waenda peponi huwezi kuta mpagani kaanguka mapepo hililitakua laajabu sanaKaa na upagani wako ukijidanganya we ndo uko sahihi!! Ukitarajia utitiri wa watu tulivyo diniani sote tuwe na akili duni kama yako umenoa!!