te te te mambo yenyewe ndo haya....?

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,792
5,375
marriage-conflict.jpg
:A S 39:
 
Hiyo inaitwa nikanyage bahati mbaya nikuumize makusudi.
Wanawake wana roho mbaya sana,
hivyo vidubwashika vyao wanaviona kama pilau.
Ndio maana kuna madingi yanabandua ma hausi gelo hivi hivi.
 
haaa haaa.......! Angeweza kumfunga mdomo ndio ingekuwa kamaliza.......hapo bado tarumbeta litaendelea tu!
 
1.bibie inaelekea ndie kaweka uzio si unamuona? katazama pembeni kabisa.
2.wanapendana sana hawa,kama sio mbona hawajazima taa?
3.Hiyo sio suluhisho ili mradi shuka moja,na chini ya shuka hakuna seng'enge USIKU WA MANANE LAZIMA WANYATIANE TU.
CHA MSINGI HAPA NI KUWA USIWANONE WATU WANACHEKA WANATEMBEA NA KULALA PAMOJA.....NDOA ZINA MATATIZO MAKUBWA SANA
 
Hiyo inaitwa nikanyage bahati mbaya nikuumize makusudi.
Wanawake wana roho mbaya sana,
hivyo vidubwashika vyao wanaviona kama pilau.
Ndio maana kuna madingi yanabandua ma hausi gelo hivi hivi.
1.Nadhani si wote ni baadhi tu mkuu
2. Sasa? ukichukua house girl ndio itakuwa suluhisho mkuu?
3. NADHANI HAPO MAZUNGUMZO KATI YAO YATALETA UFUMBUZI
 
Hiyo inaitwa nikanyage bahati mbaya nikuumize makusudi.
Wanawake wana roho mbaya sana,
hivyo vidubwashika vyao wanaviona kama pilau.
Ndio maana kuna madingi yanabandua ma hausi gelo hivi hivi.

hahahah umenichekesha sana Sumbalwawinyo...labda na nyie wakorofi ..
 
Ndoa ndoano, hapo lazima pande moja itegekee !! hata aliyetega mtego weza mnasa mwenyewe !!

Duu Kazi ipoo !!
 
Back
Top Bottom