jingomaster
Member
- Sep 14, 2014
- 7
- 1
Sijafanya second round application, profile yangu iko processed successful
kati ya Arthi... Udsm.. Udom na Dit till now sijaona jina. Ndugu embu tusaidiane hapo...?
kati ya Arthi... Udsm.. Udom na Dit till now sijaona jina. Ndugu embu tusaidiane hapo...?
Habari,
Nenda katika link hii*** Home *** kila kitu kianajieleza
Ukisech mwaka tuuu watakuja wote walomaliza mwaka huo fanya hivyo kama bado ichek pm nikusaidie
Au andika taarifa zako zote, itakuletea umechaguliwa chuo gani