Baada ya kuhairisha kutoa majina ya waliochaguliwa kuingia vikuu kwa mwezi mmoja sasa TCU wameanza lakini kwa matatizo makubwa. Website yao haipatikani kabisa uwe nje au ndani ya Tanzania. Kwa nini wasitumie ujanja wa baraza la mitihani la taifa, NECTA ambao huweka matokeo sehemu mbalimbali ili kuondoa msongamano kwenye mtandao? NECTA huweka website za wizara ya elimu na website ya serikali hivyo watu huwa na uchaguzi wapi wayapate.