Tcu,tcu,tcu........

Apex

JF-Expert Member
Jul 31, 2012
425
61
Jf bila shaka wote wazima,jaman naomba msaada wenu kwa hayo yaliyomtokea jamaa yangu,aliomba na akawa ajachaguliwa kwa 1st round,akaomba 2nd round ifm,majina ya selected to udom akawepo degree ya health....lkn amepiga EGM,Leo selection za tcu zimetoka ame be admitted Udom b.of computer science & information systeam security,mbaya zaidi hiyo prgm haipo pale Udom,je hii inakuweje wadau msaada pls.
 
Exactly the same thing happened to a friend of mine na yeye alisoma EGM akakosa 1st round akaaply 2nd round St John lakini ameandikiwa course hiyi hiyo ya UDOM..shida ni nin aisee hawa TCU.?
 
Back
Top Bottom