Jf bila shaka wote wazima,jaman naomba msaada wenu kwa hayo yaliyomtokea jamaa yangu,aliomba na akawa ajachaguliwa kwa 1st round,akaomba 2nd round ifm,majina ya selected to udom akawepo degree ya health....lkn amepiga EGM,Leo selection za tcu zimetoka ame be admitted Udom b.of computer science & information systeam security,mbaya zaidi hiyo prgm haipo pale Udom,je hii inakuweje wadau msaada pls.