Hivi wale waliokua not selected na TCU wakapewa list ya course za kuomba zenye nafasi mpaka saa hizi hawajatoa results hawa TCU maana wengine washaanza masomo sasa mpaka mtu uje ujiandaee upate pesa na regstration si semester inakua inaisha
Au TCU washatoa matokeo tayariu ?
Au TCU washatoa matokeo tayariu ?