WADAU NAOMBA KUULIZA SISI TULIO OMBA TCU NA NI EQUIVALENT MBONA MAJINA YETU HAYAJATOKEA VYUONI MAANA Tangazo la tcu lilituelekeza kuomba huko na sio vyuoni. sasa leo tunaambiwa majina hayapo vyuoni inakuwaje
msaada kwa wadau wenye majibu maana nipo njia panda. na ninahamu ya kwenda kusoma
msaada kwa wadau wenye majibu maana nipo njia panda. na ninahamu ya kwenda kusoma