TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Ndugu jf
Niliomba admission kupitia TCU katika unversity mbali mbali kama vile Mucobbs lakini chakushangaza nimechaguliwa na kozi wameweka wanayo jua wenyewe nakuacha ambazo mimi niliziweka katika selection account yangu...hapa najiuliza nitasomaje kozi ambayo sijachagua wala sina interest nayo?
naombeni msaada chakufanya.
Niliomba admission kupitia TCU katika unversity mbali mbali kama vile Mucobbs lakini chakushangaza nimechaguliwa na kozi wameweka wanayo jua wenyewe nakuacha ambazo mimi niliziweka katika selection account yangu...hapa najiuliza nitasomaje kozi ambayo sijachagua wala sina interest nayo?
naombeni msaada chakufanya.