"....b a a d a y a k u o n a k u n a wa t u we n g i wa n a o p e n d a k u e n d e l e a n a ma s omo y a e l i mu y a j u u , l a k i n i wame s h i n dwa k u t o k a n a n a k u t o k uwa n a v i g e z o , T C U i me amu a k u a n z i s h a m i t i h a n i h i y o ma a l umu .".
Je hao watu wengi walionekana vipi???? Bila ya tafiti kufanyika. Mbona ni sababu dhaifu sana.
Nilivyoelewa, kuna watu wachache wenye ushawishi, hususani kiuchumi na kisiasa, wamepiga hesabu na kuona upepo ni mkali. Hivyo wakashawishi mfumo huu unaotumika nchi zilizoendelea, bila ya kufanya tathmini, ili kulinda maslahi yao na ya ndugu zao wenye vyeti bandia, au walio hatarini kuondolewa kazini kwa kigezo cha Elimu duni. Na wala si kwa maslahi ya taifa. Pia kati ya hao wenye ushawishi, naamini, kuna wakuu wa vyuo vikuu binafsi wanahusika. Nasema hivyo kwa kuwa , kutoka na ufaulu mbovu wa Kidato cha Nne 2012, wanasugua vichwa ili kunusuru biashara siku za usoni.
MTIZAMO WANGU. Kama kweli serikali inao mpango mzuri wa kuboresha Elimu ingeboresha ngazi ya VETA. Kutokana na ukiritimba katika taifa......tusubiri matokeo. Ikiwa kama shule za Kata zimedhihirisha kushindwa , sitarajii tofauti.
Je hao watu wengi walionekana vipi???? Bila ya tafiti kufanyika. Mbona ni sababu dhaifu sana.
Nilivyoelewa, kuna watu wachache wenye ushawishi, hususani kiuchumi na kisiasa, wamepiga hesabu na kuona upepo ni mkali. Hivyo wakashawishi mfumo huu unaotumika nchi zilizoendelea, bila ya kufanya tathmini, ili kulinda maslahi yao na ya ndugu zao wenye vyeti bandia, au walio hatarini kuondolewa kazini kwa kigezo cha Elimu duni. Na wala si kwa maslahi ya taifa. Pia kati ya hao wenye ushawishi, naamini, kuna wakuu wa vyuo vikuu binafsi wanahusika. Nasema hivyo kwa kuwa , kutoka na ufaulu mbovu wa Kidato cha Nne 2012, wanasugua vichwa ili kunusuru biashara siku za usoni.
MTIZAMO WANGU. Kama kweli serikali inao mpango mzuri wa kuboresha Elimu ingeboresha ngazi ya VETA. Kutokana na ukiritimba katika taifa......tusubiri matokeo. Ikiwa kama shule za Kata zimedhihirisha kushindwa , sitarajii tofauti.