Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 863
- 1,926
Kitengo cha propaganda Cha CCM kimekufa? Serikali inaposhambuliwa wao wangekuja Kwa wananchi na vyombo vya habari kutoa ufafanuzi na kujibu mashambulizi ilikuitetea serikali ya chama chao. Badala yake wanatumika chawa ambao kiukweli hawana ufahamu wa maswala mengi ya uendeshaji wa serikali. Hii nchi imekuwa ni nchi ya kujipendekeza upate mlo au cheo. Nchi ya machawa.
Tukiacha unafiki kuna baadhi ya mambo aliyoyasema Ney je hayapo?,
Mfano wezi wanafanywa nini? kataja report ya CAG kama mfano.
Utendaji wa bunge letu ukoje?
Hili la bandari kuuzwa hapo kasema uongo, bado ni mapema kuhukumu
Tukiacha unafiki kuna baadhi ya mambo aliyoyasema Ney je hayapo?,
Mfano wezi wanafanywa nini? kataja report ya CAG kama mfano.
Utendaji wa bunge letu ukoje?
Hili la bandari kuuzwa hapo kasema uongo, bado ni mapema kuhukumu