TBS inakanusha kuwa ilipima bidhaa za dawa za meno na kutoa taarifa kuwa zina vichocheo vya kibiolojia

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,034
Kufuatia lile kongamano aliloshiriki Harrison Mwakyembe ambapo mmoja wa wazungumzaji alieleza uwepo wa dawa za meno na "body spray" zinazoongeza homoni za kike kwa wanaume. shirika la viwango Tanzania (TBS) limetoa tamko kukanusha madai hayo huku ikieleza inaendelea kufuatilia



JISOMEE HAPO CHINI


Dar es Salaam, 01 Aprili, 2023
"Hivi karibuni, kumekuwepo na taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayoelezea uwepo wa dawa za meno zinazotolewa kama msaada katika baadhi ya shule hapa nchini zinazosadikika kuwa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) tumepima na kuthibitisha zina viambata ambavyo ni vichocheo vya kibiolojia (hormones) vinavyoathiri watumiaji hasa watoto wa klume.

TBS inakanusha maelezo ya kwenye ujumbe wa maneno unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ilipima bidhaa hizo za dawa za meno na kutoa taarifa kuwa zina vichocheo hivyo vya kibiolojia.
Aidha, TBS baada ya kupata taarifa hiyo imefanya ukaguzi na uchunguzi wa awali katika bidhaa husika na kugundua hakuna uwepo wa vichocheo hivyo vya kibiolojia

Hata hivyo TBS inaendelea kufanya ufuatiliaji wa suala hili kwa kushirikiana na maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali.

TBS inawashukuru wananchi wote ambao wanaendelea kutoa ushirikiano kwani suala la udhibiti wa usalama na ubora wa bidhaa ni mtambuka (shared responsibility).

WhatsApp Image 2023-04-01 at 16.51.25.jpeg
 
Ni mjinga pekee atayeiona vita hii ni ya kitoto

Ikiwa tu suala la mapenzi ya jinsia moja linatetewa na mataifa makubwa na vitaifa vyetu hivi vinaswagwa kama mbuzi na vinaambiwa vilinde hiyo haki" siyo ajabu tena TBC kukanusha kwa sababu hiyo hiyo!

Yaani TBC waunge mkono hiyo vita? Yanaingia akilini kweli
 
Kufuatia lile kongamano aliloshiriki Harrison Mwakyembe ambapo mmoja wa wazungumzaji alieleza uwepo wa dawa za meno na "body spray" zinazoongeza homoni za kike kwa wanaume. shirika la viwango Tanzania (TBS) limetoa tamko kukanusha madai hayo huku ikieleza inaendelea kufuatilia



JISOMEE HAPO CHINI


Dar es Salaam, 01 Aprili, 2023
"Hivi karibuni, kumekuwepo na taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayoelezea uwepo wa dawa za meno zinazotolewa kama msaada katika baadhi ya shule hapa nchini zinazosadikika kuwa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) tumepima na kuthibitisha zina viambata ambavyo ni vichocheo vya kibiolojia (hormones) vinavyoathiri watumiaji hasa watoto wa klume.

TBS inakanusha maelezo ya kwenye ujumbe wa maneno unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ilipima bidhaa hizo za dawa za meno na kutoa taarifa kuwa zina vichocheo hivyo vya kibiolojia.
Aidha, TBS baada ya kupata taarifa hiyo imefanya ukaguzi na uchunguzi wa awali katika bidhaa husika na kugundua hakuna uwepo wa vichocheo hivyo vya kibiolojia

Hata hivyo TBS inaendelea kufanya ufuatiliaji wa suala hili kwa kushirikiana na maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali.

TBS inawashukuru wananchi wote ambao wanaendelea kutoa ushirikiano kwani suala la udhibiti wa usalama na ubora wa bidhaa ni mtambuka (shared responsibility).

View attachment 2573100

Wamekanusha au wanafuatiliya?
 
ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE a.k.a JIZI LA MAKONTENA, anazidi kuumbuka kwenye hii vita baridi ya vinyesi.

ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE akiongozana na mpambe wake ALIYEJIKOBOA JUSO LAKE KAMA NDULELE, CATHERINE KAHABI, wameangukia pua na kuambulia patupu kwenye propaganda yao ya vinyesi.

Tunataka ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE afunguliwe mashtaka ya kuitusi mamlaka ya TBS.
 
Ni mjinga pekee atayeiona vita hii ni ya kitoto

Ikiwa tu suala la mapenzi ya jinsia moja linatetewa na mataifa makubwa na vitaifa vyetu hivi vinaswagwa kama mbuzi na vinaambiwa vilinde hiyo haki" siyo ajabu tena TBC kukanusha kwa sababu hiyo hiyo!

Yaani TBC waunge mkono hiyo vita? Yanaingia akilini kweli
ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE wakiongozana na BINTI ALIYEJIKOBOA JUSO LAKE KWA MKOROGO KAMA NDULELE, CATHERINE KAHABI, washtakiwe kwa kuidhalilisha na kuitusi mamlaka ya TBS kwamba inashirikiana na wazungu kusababisha ushoga nchini.


ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE alipe fidia ya hasara na kushuka kwa soko la dawa za meno katika viwanda na wasambazaji wa dawa hizo kutokana na matamko yake yaliyojengwa juu ya hadithi za kusadikika na CONSPIRACY THEORIES.

Kisha ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE apuuzwe na watu wote wenye akili timamu.
 
Si walisema Mkemia Mkuu wa serikali ndo alithibitisha?
ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE alikuwa anawapiga fiksi wafuasi wake ili ajizolee KIKI KWA PIKIPIKI.

Mamlaka halali ya serikali TBS imethibitisha bayana na dhahiri kwamba ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE ni MCHEZA FUTUHI aliyeangukia pua kwenye vita baridi ya vinyesi.
 
Back
Top Bottom