TBC1 imepoteza mwelekeo!

Si chombo cha Muungano...Zanzibar ni nchi ina TVZ na vyombo vyake wala sio koloni la Tanganyika na wala haiko chini ya Tanzania bara........Nadhani kina tume ya Katiba na wengineo wataniunga mkono...

Yaani wewe nawe ndo zumbukuku kweli, jana BBC walikua wanatoa updates za ajali ya hiyo meli. Hivi BBC ni chombo cha Muungano? Mambo mengine badala ya kuchagua kutetea inabidi ujiulize mara mbili.
Naunga mkono hoja asilimia mia moja, TBC kwisha kazi wamepwaya, wamechoka, uongozi umezeeka na wanaboa ile mbaya. Tatizo kubwa linaloikumba nchi yetu ni kua na viongozi wa aina moja ndo mana kila kitu hakiendi sawa. Kwa kweli hatuna redio, polisi, jeshi, magereza, na usalama wa taifa ndo sifuri kabisa.
 
Wadau,nimekua nikifuatilia utendaji wa shirika letu linalofanya kazi kwa kodi zetu la TBC1 kwa muda mrefu sasa,leo baada ya kutokea tukio la kuzama meli ndipo nimeamini kuwa TBC1 hawana mwelekeo kwani badala ya kutoa updates za tukio hilo wao walikua wakionyesha kipindi cha bango,hili linaendana na kipindi cha nyuma ambapo ilipotolea ajali ya meli kwenye mkondo wa nungwi ambapo kama kawaida yao walikuwa wanaonyesha taarabu badala ya kutoa updates za tukio,haya ni baadhi tu ya madudu yao ukiachilia mbali kutokuonyesha habari zozote zinolenga mirengo ya kuikosoa serikali..inshort iam casting a vote of no confidence to TBC1!


Hujui ya kuwa TBC 1 imehamia MCL. Kaondoka nayo Tido Mhando. Wenyewe wanadhani sifa kuwa biased na kuipendelea serikali kumbe wana haribu tu. Anyway ndio mwendo kwani tumeyataka wenyewe wala tusimlaumu mtu. Mimi kwa upande wangu nilisha acha kuangalia TBC 1.

Naomba kuuliza swali hivi TBC 1 bado ina exist?
 
Inonekana wewe mtu wa kuangalia vipindi vya katuni tu. TBC1 wanatoa updates kila wakati mhtasari wa taarifa zao, hufuatilii au uko ki-majungu zaidi, haisaidii hiyo.

Nadhani unakejeli! Humaanishi unachotaka kusema! Siku nzote ninapoangalia TBC1, ukiacha kipindi cha kutoka bungeni, ni taarabu ya pwani, wanawake wenye kunyoosha kidole na kauli za kipwani pwani tu na mipasho ambayo ninaionea aibu ninapokuwa na watoto. Haijalishi kuna nini kimetokea katika taifa, hata kama ni kilio kama hiki cha jana. TBC1 wameingiliwa na mdudu wa kupenda mipasho na kuonyesha movie za kichina na huko magharibi. Watoto wanaipenda maana ni TV ya kitoto. Haina mafunzo inatuharibia watoto.

Nadhani wewe ni kejeli umeota, natumaini huwezi ukawa unamaanisha ulichoandika!
 
Si chombo cha Muungano...Zanzibar ni nchi ina TVZ na vyombo vyake wala sio koloni la Tanganyika na wala haiko chini ya Tanzania bara........Nadhani kina tume ya Katiba na wengineo wataniunga mkono...




Unataka kusema hiyo ni sababau tosha kwa TBC kutofanya updates? Waathirika wa ajali ni watanzania, kama ni wazenji au wabara haimaanishi shirika la habari la serikali ya Muungano lisitangaze habari za ajali. Je, unajua idadi ya wafu kutoka pande mbili za muungano?
 
Si chombo cha Muungano...Zanzibar ni nchi ina TVZ na vyombo vyake wala sio koloni la Tanganyika na wala haiko chini ya Tanzania bara........Nadhani kina tume ya Katiba na wengineo wataniunga mkono...


kumbuka kuna watanganyika waliokua wanaenda z'bar na sa wazawa wa z'bar.
 
Yaani wewe nawe ndo zumbukuku kweli, jana BBC walikua wanatoa updates za ajali ya hiyo meli. Hivi BBC ni chombo cha Muungano? Mambo mengine badala ya kuchagua kutetea inabidi ujiulize mara mbili.
Naunga mkono hoja asilimia mia moja, TBC kwisha kazi wamepwaya, wamechoka, uongozi umezeeka na wanaboa ile mbaya. Tatizo kubwa linaloikumba nchi yetu ni kua na viongozi wa aina moja ndo mana kila kitu hakiendi sawa. Kwa kweli hatuna redio, polisi, jeshi, magereza, na usalama wa taifa ndo sifuri kabisa.

Like.......
 
kumbuka kuna watanganyika waliokua wanaenda z'bar na sa wazawa wa z'bar.

Mkuu sina maana hiyo....fuatilia thread zote zinzoshutumu vyombo vya habari Tanzania bara kwa poor coverage ya hiyo issue then utaelewa maana ya comment yangu....
 
Unataka kusema hiyo ni sababau tosha kwa TBC kutofanya updates? Waathirika wa ajali ni watanzania, kama ni wazenji au wabara haimaanishi shirika la habari la serikali ya Muungani lisitangaze habari za ajali. Je, unajua idadi ya wafu kutoka pande mbili za muungano?

Mkuu Peasant... habari za shamba kwanza....hadi shamba kuna mtandao??

Back to the topic.....Sihitaji kujua idadi ya wabara na wavisiwani ndio nisikitike....mimi sio mtu wa kufurahia majanga hata siku moja haswa yanapogusa uhai wa mtu ...kwa bahati mbaya sijaeleweka ...usiishie kusoma tu uzi huu...zipo nyingi zinazolalamikia hili jambo....mie nimecomment hapo kwa kuangalia mantiki ya wanaolalama humu...fanya hiyo assignment then utanisoma kwa uzuri....

HEBU GONGA HAPA UONE HUYU KILAZA ANACHOANDIKA....

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/294622-itv-na-uchomaji-wa-makanisa-vs-ajali-za-meli.html#post4270223


na Hapa..
..

https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/294237-hivi-kwa-nini-tv-za-bara-zinadharau-majanga-yanayotokea-visiwani-zanzibar.html

 
Back
Top Bottom