Futa delete kabisa 2015 bye bye, tunatangaza ajira mpya
Ni magazeti mengi sana wameandika uongo, fuatilia clip zao kwenye YOUTUBE zipo nyingi sana
ungekuwa umeangalia hizo clip usinge comment ulicho comment. Huwezi kusema hii ndio Leading story halafu haiendani na uhalisia. Jitahidi uwe unaelewa jambo kabla ya ku commentTatizo lako unalazimisha habari unayotaka wewe isomwe.mhariri ana haki ya kuchagua habari ipi isomwe.kuna habari za kilimo afya na elimu nazo pia tunatakiwa kuzijua sio kila siku ukawa.pia ule ni udondozi tu,unatakiwa ununue Tanzania daima utapata habari unazotaka wewe,mpaka upande wa michezo tunaambiwa jinsi babu seya atakavyoachiliwa huru
Bwa ha ha ha ha,nimecheka sana jamani. Habari zilizopewa "uzito wa kipekee" labda wao wana maana yao nyingine ya "uzito wa kipekee".
Tatizo lako unalazimisha habari unayotaka wewe isomwe.mhariri ana haki ya kuchagua habari ipi isomwe.kuna habari za kilimo afya na elimu nazo pia tunatakiwa kuzijua sio kila siku ukawa.pia ule ni udondozi tu,unatakiwa ununue Tanzania daima utapata habari unazotaka wewe,mpaka upande wa michezo tunaambiwa jinsi babu seya atakavyoachiliwa huru