Alipokuja Tido Muhando kuongoza TBC alikuja na taratibu zake alizozitoa uingereza ndio maana serikali wakaona hawawezi kuendelea naye kwani alikuwa hafichi kitu,kama serikali imefanya madudu alikuwa anawaunbua live.Sasahivi tbc imekosa kiongoza ipo hovyo.
Weledi kitanzini!
Nakubaliana na Mwanzisha mada.
Sisi wananchi hatupendi hao madaktar wagome.Ila kitendo cha chombo cha habari kutokutoa taarifa za ukweli, NDICHO HASA KINACHOTUCHEFUAAAAAAAAAAAAAA:A S confused:
Mie nafikiri TBC1 wangewasaidia watawala kujua ukweli juu ya mgomo huu.
Alipokuja Tido Muhando kuongoza TBC alikuja na taratibu zake alizozitoa uingereza ndio maana serikali wakaona hawawezi kuendelea naye kwani alikuwa hafichi kitu,kama serikali imefanya madudu alikuwa anawaunbua live.Sasahivi tbc imekosa kiongoza ipo hovyo.
I don't give a shit about tbc1, medical doctors wa bongo wanapenda kunyenyekewa sana wanataka sijui wananchi wawaabudu kabisa.
Wakata Taarifa ya Chanel ten leo sa 1 na Ile ya ITV Sa 2 usiku zikiripoti uwepo wa mgomo wa madaktari, katika hospitali ya Mhimbili, Bugando etc. TBC Wametoa pongezi kwa madaktari kuitikia tamko la serikali kuwataka kuachana na mgomo na kutii kwa kuendelea na kazi leo. Hivi kweli upotoshaji huu si kuvicha kidonda kibichi hivi kikioza nani wa kulaumiwa. I hate TBC 1. Taarifa za uhakika ni kuwa mgomo umeanza rasmi leo
pole, bado unaangaliaga tbc1 wenzio tulishawachia ccm na wazee wao, mimi huwa na tazama bunge tu. Tangu aondoke tido hapo hakuna kitu, wanaweza sema hakuna mgomo wakati watu wanaendelea kufa, kwa sababu wanaelekezwa cha kutangaza.