KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Wameacha kuripoti kinachojiri dodoma kwa ni zamu ya wabunge wa upinzani waanza kuchangia. hii ni nini jamani kwa chombo hiki kinachoendeshwa kwa kodi zetu?
tbc wanawashwa na kitu kny hoja za msing wanapeperusha stimu sana wanakata lkn kny taarifa mwanzo mwisho