franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,400
- 1,451
Wandugu!
Nimekuwa nikiangalia TV stations za hapa nyumbani kwa kiasi wanajitahidi (ukiondoa TBC) ambao kwao ubunifu nafikiri si ishu kudhirisha hili hebu tizama kipindi hiki kipya cha HUKU NDO KWETU utagundua wameiga kila kitu toka kwa kipindi cha usawzi CHA eatv..MTANGAZAJI MWENYEWE hajui chochote anaboa kwa ujumla. Nashauri TBC mbuni kitu chenu tofauti kidogo na wenzenu.
Frank
Nimekuwa nikiangalia TV stations za hapa nyumbani kwa kiasi wanajitahidi (ukiondoa TBC) ambao kwao ubunifu nafikiri si ishu kudhirisha hili hebu tizama kipindi hiki kipya cha HUKU NDO KWETU utagundua wameiga kila kitu toka kwa kipindi cha usawzi CHA eatv..MTANGAZAJI MWENYEWE hajui chochote anaboa kwa ujumla. Nashauri TBC mbuni kitu chenu tofauti kidogo na wenzenu.
Frank