Matumbulu
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 316
- 264
(i will hit him)kagame si alisema atamuonyesha yeye ni nani? Tusubiri
(i will hit him)kagame si alisema atamuonyesha yeye ni nani? Tusubiri
Alitabiri rais wa malawi, hata Westgate alitabiri watu wakapuuza
Yaani huyu Pastor yeye anatabiri matendo ya kishetani tu. Kwa nini hajatabiri mambo ya neema kwa "wana" wa Mungu
Alileta story ya Boko Haram kufutika ikagonga mwamba. Huwa anacheza na probability za matukio katika jamii kulingana na mazingira halafu anakuja na majibu.
Halafu matukio yakitokea ndiyo huwa anajitokeza na kudai alitabiri na limetokea.
.......................
......................
He's getting richer wakati waumini na wafuasi wake wengi getting poorer.
...siku ukija kustuka it will be too late....wewe fanya mambo yako kwa bidii, muombe mungu wako wa kawaida...basi haya mambo mengine yatakuangaisha kwenye maishakama mimi namwamini sana huyu mtumishi wa Mungu,kwani Mungu wetu anamtumia sana,ndugu zangu watanzania mwaminini huyu Tb joshua kwani ni mtumishi wa kweli na Mungu anamtumia sana.
napitaaaaaaaaa
Yaani huyu Pastor yeye anatabiri matendo ya kishetani tu. Kwa nini hajatabiri mambo ya neema kwa "wana" wa Mungu
Alileta story ya Boko Haram kufutika ikagonga mwamba. Huwa anacheza na probability za matukio katika jamii kulingana na mazingira halafu anakuja na majibu.
Halafu matukio yakitokea ndiyo huwa anajitokeza na kudai alitabiri na limetokea.
Kila mtu na shamba lake la mavuno ya kimaisha na wajinga ndiyo waliwao.
He's getting richer wakati waumini na wafuasi wake wengi getting poorer.
Mtabiri anayeongea na "Mungu" kama anavyodai hawezi kuambiwa jambo na mungu wake na lisitokee labda huyo mungu ni kutengeneza na siyo yule "Mungu" aliyeumba mbingu na dunia anayefahamu kila kitu kwa sababu ni yeye aliyeviweka.Mbona hilola Bokoharamu ndio umekomalia U mmoja wa wana kundi hilo nini! Mengi ametabiri na yametukia.
Mtabiri anayeongea na "Mungu" kama anavyodai hawezi kuambiwa jambo na mungu wake na lisitokee labda huyo mungu ni kutengeneza na siyo yule "Mungu" aliyeumba mbingu na dunia anayefahamu kila kitu kwa sababu ni yeye aliyeviweka.
"Mungu" aliyeumba mbingu na dunia hana room for manoeuvre kwa sababu neno lake ni kweli.
Endeleeni kumtajirisha huyo mtabiri wenu kwa sababu imani haina maswali na fikra kinzani kama tunavyohoji na kufikiria kutokana na matendo yake yanayotoa wingu la mashaka katika utendaji wake.
Mkuu, kwa nini unashangaa.Really? :A S 39:
Hii ni imani yako kama ilivyo imani kwa watu wengine. Watu hawakatazwi kuhoji pale mtu anapotoka kwenye imani na kuweka hoja ya kutaka watu wamwamini kama ni mjumbe wa Mungu wa kwenye Biblia kwa matendo na matukio anayoyafanya.Huu uzi sijui ulianzia wapi. Nimekutana nao ghafula. Namshukuru Mungu nimepata nafasi ya kuupitia wote. Jambo moja nimegudua; hakiri za binadamu hazitakaa ziujue ukubwa na mipango ya Mungu; labda kwa neema.
Wachache niliokutana nao ktk jukwaa la siasa, leo ndo nimejua jinsi walivyo. Sikujua kama mtu anaweza kuwa na ushahidi wa kikatiba ktk maelezo yake na asiweze kuwa na ushahidi wakutosha wa kumtuhumu mtumishi wa Mungu. Kwa bahati mbaya watu kama hawa wakiingia ktk siasa mlinzi wao mkuu ni waganga wakienyezi.
Kibaya zaidi ni pale nilipoona kituko cha mwaka, maoni ya mmoja ktk huu uzi yanatisha....ni kama majigambo...majigambo ya kipepo, na ni ya woga. Nachelea kusema ktk anga zake anamwona TB Joshua. Tatizo mmoja yuko upande mmoja na mwingine yuko upande mwingine. Wakikutana kuna kitu kitatokea.
Nivizuri ukatembelea chanel ya 'emmanuel tv' ili ujue nini mtumishi huyo anafanya kabla ya kutuhumu usiyoyajua.
Kinachonisikitisha hapa ni kama tunataka Mungu afanye aliyoyatabili TB ndo tujue kwamba yeye ni Nabii. Kinyume chake tuamini yeye ni 'Mwongo'.