Si mimi ni utabiri wa TB Joshua leo, ameonyeshwa rais mmoja Africa atatekwa na ameonyeshwa watu wakiwa club wanacheza then wanalipukiwa na nchi iyo ni jirani na Kenya, Angalizo, amesema siyo kenya tena,je itakuwa nchi gani?
Misa ya leo jumapili ndo kasema, na amesema ataendelea kuomba ili jumatano na alhamisi ijayo aonyeshwe ni rais gani na nchi gani.
VIDEO:
Jamani tuombe sana isiwe tanzania
unabii kama unabii sharti utimie vinginevo ni unabii fake.Hata wewe ukiambiwa HABARI NZURI ITAKUTOKEA utakachofanya ni kukenua meno tu LAKINI ukiambiwa HABARI MBAYA ITAKUTOKEA lazima UJIPANGE KUZUIA AU KUPUNGUZA MADHARA YAKE. Kwahio anazungumza habari mbaya ILI WATU WAJIHAMI.
Wote mlio "Like" post hio hapo juu FAHAMUNI NISEMAYO, ACHENI KUPUUZA TAHADHARI. Kwani ISIPOTOKEA WEWE UTAPATA HASARA GANI?
Inasemekana ni mteja wake ndiyo hakati tamaa.huyu jamaa alitabiri 2015 kuwa Manywele meupe ndo atakuwa Raisi wa nchi yetu, mi nasubiria hapo tu nijionee kama ni mkweli ama la. Alitamka hayo mara baada ya manywele kwenda kuhiji huko mwaka juzi mwanzoni.
vipi kuhusu utabiri wake wa arsenal,nao unaangukia fungu gani,au la entertainment prophecy?Mkuu ni kuhakikishie tu Mungu mara nyingi akituma au kutoa Utabiri kupitia Mtu habahatishi wala hauji nusunusu anautoa kamili na kwa Uhakika ilikuyaepusha mabaya baada ya kutimizwa kwa takwa au jambo analotaka Mungu hatoi utabiri kwa kutisha watu kiujumla jumla tu nikupe mfano mmoja kwa kutumia Biblia japo ipo Mingi
SOMA YEREMIA 26:1-20 ila kwa Ufupi hapa na kupa mstari wa 12 hadi wa 13 kwa rejea yako uone tofauti ya utabiri kama agizo la Mungu na Utabiri kama hadakadabra;
NDIPO YEREMIA AKAWAAMBIA WAKUU WOTE NA WATU WOTE ,AKISEMA,BWANA NDIYE ALIYENITUMA KUTABIRI JUU YA NYUMBA HII,NA JUU YA MJI HUU,MANENO HAYO YOTE MLIYOYASIKIA BASI SASA TENGENEZENI NJIA ZENU,NA MATENDO YENU MKAISIKILIZE SAUTI YA BWANA MUNGU WENU;NAYE BWANA ATAYAGHAIRI MABAYA ALIYONENA JUU YENU.
Utaona wazi utabiri huu ulimlenga sehemu mahususi,mtu na sehemu husika ikiwa bayana na sababu na nia ya Mungu ya kuwaepusha na hatari iliyowakabili...kwa hiyo tusibeze ila kila neno la Mungu lipimwe na kuthibitishwa na andiko.
Si mimi ni utabiri wa TB Joshua leo, ameonyeshwa rais mmoja Africa atatekwa na ameonyeshwa watu wakiwa club wanacheza then wanalipukiwa na nchi iyo ni jirani na Kenya, Angalizo, amesema siyo kenya tena,je itakuwa nchi gani?
Misa ya leo jumapili ndo kasema, na amesema ataendelea kuomba ili jumatano na alhamisi ijayo aonyeshwe ni rais gani na nchi gani.
VIDEO:
Jamani tuombe sana isiwe tanzania
Si mimi ni utabiri wa TB Joshua leo, ameonyeshwa rais mmoja Africa atatekwa na ameonyeshwa watu wakiwa club wanacheza then wanalipukiwa na nchi iyo ni jirani na Kenya, Angalizo, amesema siyo kenya tena,je itakuwa nchi gani?
Misa ya leo jumapili ndo kasema, na amesema ataendelea kuomba ili jumatano na alhamisi ijayo aonyeshwe ni rais gani na nchi gani.
VIDEO:
Jamani tuombe sana isiwe tanzania
Naomba ku uliza ikiwa kuna utabiri wowote amewahi toa ukaja kuwa kweli. Nasubiri jibu tafadhali
Alishawai kutabiri kuwa Afrika itakuja kuwa bara lenye maendeleo makubwa sana,(the great Africa)
Huu uzi sijui ulianzia wapi. Nimekutana nao ghafula. Namshukuru Mungu nimepata nafasi ya kuupitia wote. Jambo moja nimegudua; hakiri za binadamu hazitakaa ziujue ukubwa na mipango ya Mungu; labda kwa neema.
Wachache niliokutana nao ktk jukwaa la siasa, leo ndo nimejua jinsi walivyo. Sikujua kama mtu anaweza kuwa na ushahidi wa kikatiba ktk maelezo yake na asiweze kuwa na ushahidi wakutosha wa kumtuhumu mtumishi wa Mungu. Kwa bahati mbaya watu kama hawa wakiingia ktk siasa mlinzi wao mkuu ni waganga wakienyezi.
Kibaya zaidi ni pale nilipoona kituko cha mwaka, maoni ya mmoja ktk huu uzi yanatisha....ni kama majigambo...majigambo ya kipepo, na ni ya woga. Nachelea kusema ktk anga zake anamwona TB Joshua. Tatizo mmoja yuko upande mmoja na mwingine yuko upande mwingine. Wakikutana kuna kitu kitatokea.
Nivizuri ukatembelea chanel ya 'emmanuel tv' ili ujue nini mtumishi huyo anafanya kabla ya kutuhumu usiyoyajua.
Kinachonisikitisha hapa ni kama tunataka Mungu afanye aliyoyatabili TB ndo tujue kwamba yeye ni Nabii. Kinyume chake tuamini yeye ni 'Mwongo'.
Naomba ku uliza ikiwa kuna utabiri wowote amewahi toa ukaja kuwa kweli. Nasubiri jibu tafadhali
mbona aonyeshwi mazuri. anaonyeshwa mabaya tu
Unajua wewe unajichanganya sana yeye hakuomba kuaminiwa ametoa unabii wake tu, jambo la muhimu si kumpinga bali kukaa na kusubiri ili tuone kama itatokea kama alivyotabiri au la!!! Lakini jambo lingine kwetu sisi wakristo ni kuombea amani Taifa letu na pia kumwombea mh. Rais wetu na viongozi wengine ili tuishi kwa amani ili Injili ihubiriwe na watu waokolewe, pia haki itendeke ktk Taifa letu, mimi si mwanaccm ila kila siku namwombea Rais wetu na serekali yake ili tuishi kwa amani, hata ktk unabii huu naomba isiwe kwa Rais wetu.