Mmesaha yule samaki aliyekuwa akitabiria mechi za kombe la dunia? Ila kwa bahati kiumbe huyo hakipo hai tena.hivi kuprophesize maana yake nini? Jana mwenyewe (t.b.joshua) alizungumzia kuhusu seers akiwalenga waganga na fortune tellers sasa sijui seers maana yake nini?
Ofcourse nabii sindio prophet anaoneshwa future events na anazisema, sasa kutabiri, kubashiri sijui maana yake sana, na si tuna watabiri wa hali ya hewa?