i think
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 361
- 72
Nakushauri uende kwenye radio station yoyote unaweza upata , mm mwenyewe ninautafuta sana ngoja nikikumbuka nitaenda UPLANDS FM NJOMBE nione kama wanao
uplands kwa mwaka ze boy
Nakushauri uende kwenye radio station yoyote unaweza upata , mm mwenyewe ninautafuta sana ngoja nikikumbuka nitaenda UPLANDS FM NJOMBE nione kama wanao
Wimbo mzuri sana;
chama, Sikiliza sauti za watoto wa Tanzania wanavyoimba;
Wimbo umeniingia hadi moyoni,
Kweli Tanzania nakupenda kwa moyo wote.
Nitakapokuwa rais, huu mwimbo Mpemba yeyote anayetaka kuishi Tanganyika atalazimika kuimba asubuhi na jioni. Kwaya Master atakuwa Mohamed Said, mpiga kigoma Elungata na Kakke angekuwa anacheza shoo
Wakuu mwenye huu wimbo anisaidiefile attached