Tazama ramani utaona nchi nzuri (wimbo)

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,488
79
file attached
 

Attachments

  • TAZAMA RAMANI.pdf
    985.4 KB · Views: 5,047
bajeti ya jana imenipa changamoto kubwa sana.kiukweli pato la ndani linasikitisha sana licha ya utajiri wa mkubwa wa lasilimali tulizonazo hapo ndipo nikakumbuka wakati nikiwa shule ya msingi tuliimba sana wimbo wa kuisifu nchi yetu /TAZAMA RAMANI UTAONA NCHI NZURI YENYE MITO MINGI NA MABONDE YA NAF.../wimbo huu umesahaulika na sidhani kama utapendwa tena.maoni yangu mimi ni kuwa tuurejeshe wimbo huu pia walimu wa somo la historia tuwafundishe vijana wetu ukweli juu ya tulikotoka tulipo na mustakabali wa kesho wa nchi yetu na nini kifanyike/short and longterm plan1 pia tuanzishe kitu kinaitwa society teachers org...naomba kuwasilisha mada.
 
jamaan msaada naomba mwenye wimbo huo tazama raman utaona nchi nzuri.naupenda sana wimbo huo lkn sijui nitaupata vp.sipo dar mwenye wimbo huo naomba auupload tuupate bse najua wengi wanaupenda.
natanguliza shukran
 
Wimbo wetu wa taifa la tanganyika after serikali yetu kuundwa kwenye katiba mpya!
 
Tanzanian National Song - YouTube
NADHANI UTAKUWA WENYEWE MAANA PC YANGU HAITOA SAUTI

Mkuu huo sio wenyewe huo ni "Tanzania Tanzania". Wimbo wa "Tazama Ramani" uko tofauti sana na ni mzuri sana! Na mie natamani niusikie tena.

"Tazama ramani utaona nchi nzuri...
yenye mito na mabonde mengi ya nafakaaa...
nasema kwa kinya halafu kwa kufikiriii (nadhani nimechapia hapa) ....
nchi hiyo mashuhuru huitwa Tanzaniaaaa....
majira yetu hayaaaa ....
yangekuwaje sasaaaaa...
utumwa wa nchiii Nyerere ameukomeshaaaaa...."
 

TAZAMA RAMANI!

1. Tazama ramani utaona nchi nzuri

Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,

Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,

Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzania

Majira yetu haya, yangekuwaje sasa

Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

2. Chemchem ya furaha amani nipe tumaini,

Kila mara niwe kwako nikiburudika,

Nakupenda sana hata nikakusitiri,

Nitalalamika kukuacha Tanzania.

Majira yetu haya, yangekuwaje sasa

Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

3. Nchi yenye azimio lenye tumaini,

Ndiwe peke yako mwanga wa Watanzania,

Ninakuthamini hadharani na moyoni,

Unilinde name nikulinde hata kufa.

Majira yetu haya, yangekuwaje sasa

Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2
 
Mkuu huo sio wenyewe huo ni "Tanzania Tanzania". Wimbo wa "Tazama Ramani" uko tofauti sana na ni mzuri sana! Na mie natamani niusikie tena.

"Tazama ramani utaona nchi nzuri...
yenye mito na mabonde mengi ya nafakaaa...
nasema kwa kinya halafu kwa kufikiriii (nadhani nimechapia hapa) ....
nchi hiyo mashuhuru huitwa Tanzaniaaaa....
majira yetu hayaaaa ....
yangekuwaje sasaaaaa...
utumwa wa nchiii Nyerere ameukomeshaaaaa...."

Nitakapokuwa rais, huu mwimbo Mpemba yeyote anayetaka kuishi Tanganyika atalazimika kuimba asubuhi na jioni. Kwaya Master atakuwa Mohamed Said, mpiga kigoma Elungata na Kakke angekuwa anacheza shoo
 
Last edited by a moderator:

TAZAMA RAMANI!

1. Tazama ramani utaona nchi nzuri

Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,

Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,

Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzania

Majira yetu haya, yangekuwaje sasa

Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

2. Chemchem ya furaha amani nipe tumaini,

Kila mara niwe kwako nikiburudika,

Nakupenda sana hata nikakusitiri,

Nitalalamika kukuacha Tanzania.

Majira yetu haya, yangekuwaje sasa

Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

3. Nchi yenye azimio lenye tumaini,

Ndiwe peke yako mwanga wa Watanzania,

Ninakuthamini hadharani na moyoni,

Unilinde name nikulinde hata kufa.

Majira yetu haya, yangekuwaje sasa

Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

Mmmmmwaah..Bubu Muimba Utamu....mmmmmmmwah!

Sasa Wapemba wote wanaotaka hifadhi Tanganyika wajifunze manake nitakaposhika nchi watakuwa tabuni kama hawatajua huu wimbo, especially ubeti wa mwisho
 

TAZAMA RAMANI!

1. Tazama ramani utaona nchi nzuri

Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,

Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,

Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzania

Majira yetu haya, yangekuwaje sasa

Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

2. Chemchem ya furaha amani nipe tumaini,

Kila mara niwe kwako nikiburudika,

Nakupenda sana hata nikakusitiri,

Nitalalamika kukuacha Tanzania.

Majira yetu haya, yangekuwaje sasa

Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

3. Nchi yenye azimio lenye tumaini,

Ndiwe peke yako mwanga wa Watanzania,

Ninakuthamini hadharani na moyoni,

Unilinde name nikulinde hata kufa.

Majira yetu haya, yangekuwaje sasa

Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

Dah! Asante sana rafiki!
 
Msitari wa mwisho huwa kuna nyerere na karume,nashangaa jamaa kamuweka nyerere tu

Ujio wa Tanganyika Mkuu usitie shaka
neno Karume tutalifuta ili kumuondoa
akatajwe Nchini kwake....

Usiniulize ni nchi gani ?
Maana kule kwasasa lazima kutakuwa na
Serikali hizi hapa

1.Unguja(Hapo Wapemba watarudi kwao)
2.Pemba(Hapo Waunguja warudi kwao)
3.Chumbe(Mwanzoni kabla ya kufika Unguja)
Yaani kwawaliofika znz pale ilipozama boti

4.Kuna kisiwa pale bandarini znz
 

TAZAMA RAMANI!

1. Tazama ramani utaona nchi nzuri

Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,

Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,

Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzania

Majira yetu haya, yangekuwaje sasa

Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

2. Chemchem ya furaha amani nipe tumaini,

Kila mara niwe kwako nikiburudika,

Nakupenda sana hata nikakusitiri,

Nitalalamika kukuacha Tanzania.

Majira yetu haya, yangekuwaje sasa

Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

3. Nchi yenye azimio lenye tumaini,

Ndiwe peke yako mwanga wa Watanzania,

Ninakuthamini hadharani na moyoni,

Unilinde name nikulinde hata kufa.

Majira yetu haya, yangekuwaje sasa

Utumwa wa nchi, Nyerere ameukomesha X2

Mkuu ubeti wa kwanza ilikuwa ni Nyerere, wa pili ni Karume na ubeti wa tatu ni TANU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom