Tausi wa Mrisho Mpoto ndio nani hapa nchini?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,341
51,907
Kwema Wakulungwa!

Hii nchi mtu huwa mzalendo akiwa na njaa, fukara na apeche Alolo Ila akipata ulaji uzalendo huyeyuka Kama theluji.
Hii imaanisha nini?

Naomba kwa heshima na taadhima, Kwa wale wanafasihi Nguli waje waniambie Tausi wa Mrisho mpoto kwenye hii nchi ndio Nani?

Alafu Mrisho mwenyewe atatujibu kuwa imekuwaje miaka yote hasa hii mitano iliyopita aliacha kuimba nyimbo za namna hii Kama ule wa "Mjomba, hizi ni salamu zangu kwako"

Na sasa karudia mtindo ule ule wa zamani kabisa kabla ya JPM kuingia utawalani.

Je nini kimebadilika na kumfanya Mrisho arejee mtindo wake wa kale Kwa kumtambulisha Tausi Kama Ndege mbaye anapaswa ajilinde wasijemtoa unyoya?

Kwenu wajuvi
 
Tunaomba ututafsirie Nguli wetu
Tausi kwa Lugha ya kifasihi anamwakilisha mwanamke kwa Ile sauti yake nyororo .kwa Mana hiyo anaimbwa mama Samia ,vile ameingia madarakani na mengine ni kama changamoto atakzokutana nazo kama kiongozi na Jins ya kuzitataua .
 
Tausi kwa Lugha ya kifasihi anamwakilisha mwanamke kwa Ile sauti yake nyororo .kwa Mana hiyo anaimbwa mama Samia ,vile ameingia madarakani na mengine ni kama changamoto atakzokutana nazo kama kiongozi na Jins ya kuzitataua .


Nashukuru Kwa kunifungua macho
 
Kwema Wakulungwa!

Hii nchi mtu huwa mzalendo akiwa na njaa, fukara na apeche Alolo Ila akipata ulaji uzalendo huyeyuka Kama theluji.
Hii imaanisha nini?

Naomba kwa heshima na taadhima, Kwa wale wanafasihi Nguli waje waniambie Tausi wa Mrisho mpoto kwenye hii nchi ndio Nani?

Alafu Mrisho mwenyewe atatujibu kuwa imekuwaje miaka yote hasa hii mitano iliyopita aliacha kuimba nyimbo za namna hii Kama ule wa "Mjomba, hizi ni salamu zangu kwako"

Na sasa karudia mtindo ule ule wa zamani kabisa kabla ya JPM kuingia utawalani.

Je nini kimebadilika na kumfanya Mrisho arejee mtindo wake wa kale Kwa kumtambulisha Tausi Kama Ndege mbaye anapaswa ajilinde wasijemtoa unyoya?

Kwenu wajuvi
Tausi asiyependa neno KWIOOO anajulikana kama mjomba tu au Sizonje
 
SIZONJE.

SIZO (SIO)

SIZO ZA NJE

MKAA NDANI

HATAKI KUSAFIRI

NCHI ZA NJE SIO KABISA

R.I.P SIZONJE AMIRI JESHI MKUU
 
Kwema Wakulungwa!

Hii nchi mtu huwa mzalendo akiwa na njaa, fukara na apeche Alolo Ila akipata ulaji uzalendo huyeyuka Kama theluji.
Hii imaanisha nini?

Naomba kwa heshima na taadhima, Kwa wale wanafasihi Nguli waje waniambie Tausi wa Mrisho mpoto kwenye hii nchi ndio Nani?

Alafu Mrisho mwenyewe atatujibu kuwa imekuwaje miaka yote hasa hii mitano iliyopita aliacha kuimba nyimbo za namna hii Kama ule wa "Mjomba, hizi ni salamu zangu kwako"

Na sasa karudia mtindo ule ule wa zamani kabisa kabla ya JPM kuingia utawalani.

Je nini kimebadilika na kumfanya Mrisho arejee mtindo wake wa kale Kwa kumtambulisha Tausi Kama Ndege mbaye anapaswa ajilinde wasijemtoa unyoya?

Kwenu wajuvi
Sizonje
 
Kwema Wakulungwa!

Hii nchi mtu huwa mzalendo akiwa na njaa, fukara na apeche Alolo Ila akipata ulaji uzalendo huyeyuka Kama theluji.
Hii imaanisha nini?

Naomba kwa heshima na taadhima, Kwa wale wanafasihi Nguli waje waniambie Tausi wa Mrisho mpoto kwenye hii nchi ndio Nani?

Alafu Mrisho mwenyewe atatujibu kuwa imekuwaje miaka yote hasa hii mitano iliyopita aliacha kuimba nyimbo za namna hii Kama ule wa "Mjomba, hizi ni salamu zangu kwako"

Na sasa karudia mtindo ule ule wa zamani kabisa kabla ya JPM kuingia utawalani.

Je nini kimebadilika na kumfanya Mrisho arejee mtindo wake wa kale Kwa kumtambulisha Tausi Kama Ndege mbaye anapaswa ajilinde wasijemtoa unyoya?

Kwenu wajuvi
mirija ya kula watu wamekita miguu,haipitisi tena ujaji

Sizonje mpenda misifa alishakata kamba,ndiye aliyekuwa anamweka mjini.

Na samia hapendi shobo,sasa atakula wapi!?

Pesa ya kampeni ya Mtu Ni Choo haitmtoshi.

Kutembea peku kwataka moyo.
 
mirija ya kula watu wamekita miguu,haipitisi tena ujaji

Sizonje mpenda misifa alishakata kamba,ndiye aliyekuwa anamweka mjini.

Na samia hapendi shobo,sasa atakula wapi!?

Pesa ya kampeni ya Mtu Ni Choo haitmtoshi.

Kutembea peku kwataka moyo.


Duuh!!

So kila mwamba Ngoma.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom