R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,138
Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".
Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.