Tatizo sio uwezo, Hawa wachezaji wapya wa Simba wameshajiweka kinga kwa msimu mpya?

R-K-O

JF-Expert Member
Jun 27, 2023
482
2,138
Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".

Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
 
Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimdfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".

Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
Serunkuma alipotea mazima hapo Simba.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimdfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".

Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
Hasa john, wakuogopa sana yule.
 
Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".

Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
Makolo mnapenda uchawi sana. Mnasajili michezaji isiyoeleweka mkipigwa mnakimbilia ulozi why? Hip uchawi umeishawasaidia Nini? Mbona Yanga anawazidi kila kitu isipokuwa makombe ya Pombe? Kama huo Uchawi wenu ungekuwa na faida basi mngeishachukua klabu bingwa Africa.
 
Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".

Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
Kwa John Boko kubaki naamini kweli uchawi upo Simba.
 
Tumechukua watu kutoka nchi ambazo ni wakali wa hizo kazi. Wakongo kazi yao mnaijua! Cameron na Ivory Coast ndio kabisa misumari ndio vitafunwa kwao.

Labda umri uwe sababu za pancha kama Mugalu.
 
Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".

Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
Yanga ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
 
Mchezaji anaweza kuletwa hapa Simba yupo vizuri sana ukimfatilia huko alikotoka ila msimu ukianza unakuta uwezo unashuka, majeraha, kukosa namba ilhali yuko poa na vimbwanga vingine sana baada ya kupigwa "VIPAPAI".

Hawa wachezaji wapya ni vema wafanyiwe kinga.
Usiwe na wasiwasi Mkude ameshaondoka misumari inaamia yanga
 
Back
Top Bottom