Mr's goole
Member
- Aug 30, 2011
- 17
- 8
- Thread starter
- #41
Thank you pm. God bless you.
Kaulize hizo Dawa kwenye Maduka ya wauza dawa za kiarabu wauza Dawa wa Kipemba hapo Dares-Salaam mimi zamani nakumbuka ilikuwa ni Kariakoo Mtaa wa pemba sijuwi siku hizi hayo maduka ya wauza Dawa za Kiarabu wauza viungo vya pilau wako wapi? Maana mimi sipoAsante sana kwa maelekezo ya dawa.Vipi hizi dawa zinapatikana wapi?yaani ni wapi naweza kwenda nunua?
With Jesus, everything is possible.Believe in Jesus and wait upon HIM.Ni mewaona wengi wenye tatizo kama lako sasa wananyonyesha.As long as dr amethibitisha kuwa hakuna mwenye tatizo kati yenu, basi inahitajika nguvu isiyo onekana!.By the way kuna semina ya mtumishi wa Mungu mwl Mwakasege inaanza jumapili hii pale kinondoni biafra kuanzia saa 9 usikose.