Confundido
Member
- Mar 17, 2021
- 27
- 112
Nimekuwa kwenye mahusiano na dada mmoja, kwa zaidi ya mwaka sasa, amekuwa na tatizo la kupata ujauzito kwenye ndoa yake kwa zaidi ya miaka mnne ya ndoa, na amekuwa akiniomba nimsaidie kupata ujauzito, kwa madai ya kuwa mumewe anatatizo la uzazi ila hajijui.
Sasa bhana baada ya kuusoma mzunguko wake kwa muda mrefu, nimegundua kuwa amepitiliza siku 5, hivyo nahisi ameshadaka, nimekuja na kipimo cha mimba amekataa amesema atapata presha Bure,mtoto akitoka amefanana na Mimi mume wake atajua na yy atafukuzwa, sijajua bado nia yake nini.
Je, anataka akutoe au sielewi?
Sasa bhana baada ya kuusoma mzunguko wake kwa muda mrefu, nimegundua kuwa amepitiliza siku 5, hivyo nahisi ameshadaka, nimekuja na kipimo cha mimba amekataa amesema atapata presha Bure,mtoto akitoka amefanana na Mimi mume wake atajua na yy atafukuzwa, sijajua bado nia yake nini.
Je, anataka akutoe au sielewi?