ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 44,046
- 91,354
Kwa nini wachaga na wapare chief!wachaga na wapare watakumwagia likes mkuu
Kwa nini wachaga na wapare chief!wachaga na wapare watakumwagia likes mkuu
Natania mkuu, kwanza mimi mchaga nazijua hizi stereotypesKwa nini wachaga na wapare chief!
Ukipiga??Sitapiga nduru, I promise.
KWa miaka 21 huo bado ni uume wa mtoto mdogo usihofu.Jamani, nina umri wa miaka 21, nina tatizo la uume kusinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo, na hata wakati wa tendo kabla sijaingiza ukeni huwa unasinyaa na hata ukiingia bado unasinyaa.
Nimezunguka sana kutafuta tiba lakini sijapata. Hivyo naomba msaada kwa mtu yeyote yule ambae amewahi kupona tatizo hili.
Maoni na ushauri unaruhusiwa pia.
Najihami na watu mkuu🤣🤣🤣 mambo yamekuwa mengi sana.Natania mkuu, kwanza mimi mchaga nazijua hizi stereotypes
Amani itawale
Labda pesa za uchawi, majini na Wizi.Angefika tu, hizi mambo hazitegemeani saaana.
Nipige fine.Ukipiga??
Tiba asili kwa baadhi ya waganga nimejaribu lakini bado hazijazaa matundaDaah, basi me nikushauri tulia tu achana na mahusiano utazid kujiaibisha na kukosa confidence unless atokee mwanamke alokuzoea sana umzoee pia na akuchukulie kama ulivyo unaeza rejea katika hali ya kawaida.
Tafuta Tiba Waganga wanajua usipoteze muda.
Testosterone level iko fine bossTafuta dawa za kisukuma za kutibu hiyo shida toka kwa wasukuma OG kule kanda ya ziwa. Naamini utapona.
Otherwise, labda testosterone levels zako zippo chini so ule vyakula vinavyoongeza hiyo huku unapiga supplements za zinc.
Cha msingi ni kujua kwanza sababu inayosababisha hali hiyo kisha ndipo unawezapata suluhisho lake.Jamani, nina umri wa miaka 21, nina tatizo la uume kusinyaa na kuwa kama wa mtoto mdogo, na hata wakati wa tendo kabla sijaingiza ukeni huwa unasinyaa na hata ukiingia bado unasinyaa.
Nimezunguka sana kutafuta tiba lakini sijapata. Hivyo naomba msaada kwa mtu yeyote yule ambae amewahi kupona tatizo hili.
Maoni na ushauri unaruhusiwa pia.
Kuna mzee wangu atakwambia uwe umeoa vinginevyo hakutibu anadai utaenda kusumbua jamii, ukioa nambie saivi tulia tu utimise ndoto.Tiba asili kwa baadhi ya waganga nimejaribu lakini bado hazijazaa matunda
Sio kweli💯Labda pesa za uchawi, majini na Wizi.
Pesa zina nidhamu yake.
Hilo ndio tatizo!Sijawai piga nyeto kwenye maisha yangu
Duh pole kaonane na UROLOGISTAta iki erect baada ya muda itasinyaa tu
Daktari bingwa masuala ya mfumo wa mkojo na mishipa ya viungo vya uzaziNdo nani huyo bosi