Tatizo la umeme: Awamu ya tano haiwezi kukwepa lawama labda tu kama madai hayana ukweli

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,145
144,657
By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?

Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini. Leo tunaambiwa delays tunawaka.

Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
 
By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?
Zitto ni zilipendwa...alipoteza credibility siku aliyokamatwa kwenye kamera anavuta mshiko.....toka hapo kapoteza uelekeo....JPM alikuwa mtu na nusu ni bora akafunga tu mdomo.
 
Acheni upumbavu jamani!

Jk alikuwa na mgao wa umeme wa kufa mtu!

Magufuli hakuwa na mgao kabisa wa umeme...!

Samia kaingia tu tayari mgao, hebu twambieni huyu mnaemlaumu yeye alikuwa anatumia mitambo ipi?
 
By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?

Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini.Leo tunaambiwa delays tunawaka.

Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Hizi ni story tu hakika nakwambia hata kama mtalaumu lakini ukweli utabakia kuwa ukweli
Hatukuwahi kukaa kwenye Giza
Leo imekuwaje???????????????????
 
AF1EB939-503A-4F5A-BA73-4D90395277E2.jpeg


Zitto ni mtu ambae anatafuta information na kujenga premise uchwara anazotaka yeye.

TANESCO long term plan yao ya umeme inapatikana kwenye link hapo juu ☝️na kwenye pipeline kuna renewables, hydropower (stigler gorge is also mentioned), gas and coal. Hakuna priorities ya kipi kianze.

Yeye anachukua source moja na kujengea hoja kama makosa with very simple arguments, watu kama hao wakimpata mtu anaefahamu maswala ya energy kuwa expose limitations zao ni rahisi sana.

Ukiangalia tu ivyo vyanzo vyote vya gas gharama yake inafika $2.9 billion umeme ni megawatts 2500.

Bwawa la Nyerere gharama $2.9 billion umeme megawatts 2115.

Bwawa la Nyerere lina cheap unit costs.

More safe maana bomba la gas lina line moja tu hakuna back. Likichezewa nchi nzima aina umeme na tayari over 64% ya umeme wetu unatokana na Gas kuongeza tena hiyo sio hatua nzuri ya kumitigate energy security risks.

Ukishatengeneza vyanzo inabidi uajiri na kuna gharama za matunzo. Bwawa la Nyerere linaondoa operation costs za plant kama nne hivi za kujenga gas plants.

Vitu vingine ata kuandika shida, I tell you kule Twitter ni kikundi cha wapuuzi tu huwa wanaandika vitu ambavyo awajawahi kuvifanyia research na kuviandikia report katika maisha yao; yaani ni ujinga mtupu.
 
By Zitto kupitia twitter:

Mradi wa 300MW Mtwara ulisimama. Mradi wa 350MW Kilwa ulisimama. Mradi wa nyongeza Kinyerezi 185MW ulisimama. Mradi wa Kinyerezi 3 and 4 umesimama. Utapata wapi Umeme kulisha nyongeza ya shughuli za Uchumi baada kufungua Nchi?

Miradi yote ya Umeme iliyokuwa kwenye power system master plan ilisimama kupeleka hela kwenye Stigler’s gorge ambayo wataalamu wote walituambia itachukua Miaka 7 kukamilika 100%.Lakini Kwa kuwa Sisi ni Watu wa kukubali uongo na propaganda tukaamini.Leo tunaambiwa delays tunawaka.

Siamini kuna hujuma. Ninaamini ni mambo ya kisera na madhara ya Miaka 5 unusu ya incompetence katika uendeshaji wa Uchumi. Tulidanganywa na tukaamini uongo huo. Sasa tunatumia uongo ule kuwapima wenye Mamlaka sasa. NCHI HAINA UMEME WA KUTOSHA. Hatujaongeza Hata 1MW kwa Miaka 5
Wewe badala ya kuwaza jinsi ya kumsaidia mwenyekiti wako Mbowe unawaza awamu ya 5

Afu mengine huyajui maana hiyo miradi asilimia kubwa ilikuwa inaendelea na inaendelea
 
Hivi nyie watu wakati huo mlikuwa mnaishi Tanzania au ndo ile ya kusifia kila kitu?

Hebu tuangalie kwa kwa haraka haraka tukianza na mdau kutoka Arusha...

View attachment 2015661
Fuatilia huo uzi uone watu walivyokuwa wanalalamika kuhusu umeme, tena February!!

Nyuzi nyingine....

1. Kuna mgao wa umeme wa kimya kimya December 05, 2020
2. Mgao mkali wa umeme Morogoro mjini - December 21, 2020
3. Wilaya ya Ubungo kuna mgao wa umeme? Mpaka sasa hakuna umeme March 01, 2021
4. TANESCO tutangazieni kama kuna mgao wa umeme nchini March 04, 2021
Crimea MWANAKA hii inawaumbua
 
Naomba orodha ya shughuli za kiuchumi zilizofunguliwa kisha zikasababisha upungufu mkubwa wa umeme. Orodha hiyo iambatane na kiwango cha mahitaji ya umeme yasiyotiliwa mashaka kwa kila shughuli.

Karibu.
Wehu sana hawa jamaa, Zitto na Makamba ni wamoja, kaamua kujilipua sababu anajua ndio wameshika mpini kwamba hakuna wa kuwagusa. Yajayo yanafurahisha.
 
Back
Top Bottom