Dr wa ukweli
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 900
- 264
Wajameni leo kijitonyama siku ya 8 maji hayajatoka, ni tatizo la jiji zima au ni kwetu tu?
Wajameni leo kijitonyama cku ya 8 maji hayajatoka ni tatizo la jiji zima au ni kwetu tu?
Kwetu Tabata yametoka leo.Wajameni leo kijitonyama cku ya 8 maji hayajatoka ni tatizo la jiji zima au ni kwetu tu?
Wapo Dodoma wanatengeneza eti katiba mpya!