Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Habari zenu wapendwa.

Mimi nna ujauzito wa miezi mitano ila juzi nilihisi maumivu wakati wa tendo la ndoa na jana wakati najisafi niliona mabadiliko ya yale majimaji ya uke yamekua na vichembechembe kama mfano wa chicha nikajua ni fangas wananianza.

Sasa naombeni ushauri wenu nitumie dawa gani kulingana na hali yangu?

Au je dawa ya vidonge vya kuweka ukeni vya candistat haviwezi kuniathiri kwasasa?

Kwani nilishatumia zamani vikanisaidia ila sikua mjamzito wakati ule
 
Ni kawaida sana kuwa na fangasi ukiwa mjamzito..kuna dawa za kutumia ila umuuone gyn au dr mzuri asikupe ndizo sizo..si busara sana kuzisema hapa..ni vzr pia ukaenda kupima na uti..
 
Doctor naomba msaada nimekua na tatizo hili kwa muda mrefu richa ya kutumia tube aina ya CYCLOB G nitumiapo dawa hiyo tatizo huonekana kupona lakini hujirudia tena.

Nisipotumia tube hiyo kwa muda mrefu huwa napata maumivu makali sana na ngozi hutoa majimaji.

Je kuna dawa ambayo nikiitumia inaweza kukomesha kabisa tatizo hili?

msaada tafadhali sio doctor tu ata wadau wengine kama mnaweza nisaidia.
 
Nunua malimao makubwa 120.Ukiyapata nijulishe nikuelekeze namna ya kutumia kwani kwa maelezo yako hao fangasi ni wa muda mrefu na hawako sehemu ya juu kwenye ngozi tu ni hadi kwenye leya za ndani.
 
tumia vidonge vya fluconazol pia tumia dawa ya kupaka ya candstart. Hakikisha unakuwa mkavu masaa yote na tumia nguo laini kujifuta maji mfano kanga.......angalizo, ugonjwa wa fangas unachukua muda mrefu kupona so wewe usikate tamaa.
 
paka shampoo - anti dandrof km mafuta baada ya kuoga, utaona km ngozi inabanduka km ya nyoka hapo ujue umepona
 
Doctor naomba msaada nimekua na tatizo hili kwa muda mrefu richa ya kutumia tube aina ya CYCLOB G nitumiapo dawa hiyo tatizo huonekana kupona lakini hujirudia tena nisipotumia tube hiyo kw% muda mrefu huwa napata maumivu makali sana na ngozi hutoa majimaji je kuna dawa ambayo nikiitumia inaweza kukomesha kabisa tatizo hihli msaada tafadhali sio Doctor tu ata wadau wengine kama mnaweza nisaidia

Pitia hiyo link hapo hii uisome tangia mwanzo https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/346213-dawa-kiboko-ya-minyoo-na-fungus-sugu-home-made.html
 
tumia vidonge gruseofluvin 500mg mara moja kwa siku,paka na miconazole cream, punguza kidogo ulaji na unywaji wa biscut na soda,kula vzuri,punguza pombe au acha kwa mwanaume bia mbili,fua nguo za ndani mara kwa mara,kapime ngoma ,punguza mawazo kama unayo, oga mara tatu kwa siku,nyoa mavuzi yote , punguza kula papuchi .nafikiri umenielewa
 
Kuna jamaa anaitwa BAOSITA, alituandikia hivi;
Habari zenu wadau.Nimeona nitoe elimu hii hapa kwa sababu ni watu wengi sana wanaosumbuliwa na minyoo na fungus sugu kila maeneo kuanzia miguuni mpaka sehemu nyeti!Hii imekuwa kero sana.Haijalishi umezunguka hospitali ngapi bila kupata nafuu.Cha kufanya ni:-

Nunua kitunguu swaumu.Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili vilainike.Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze.
Tahadhari,jitahidi uwe na mfuko ama sehemu ya maliwatoni maana kama hauna tumbo zuri unaweza tapika.(Mara chache sana hutokea kutapika)

Ukishakaa kama dk 15 hali yako itarudi kawaida.Baada ya SIKU 1,utaona minyoo hakuna tena na fungus wote wamekauka!Kwisha kabisa!!!!

Pia kama una presha ya kushuka usitumie hii dawa maana huwa inashusha sana presha,labda unywe na kahawa baada ya kuinywa dawa hii ili kuipandisha tena presha!

Msisite kuja kutoa ushuhuda wenu hapa wakuu.Ni hayo tu.

Mia
 
Last edited by a moderator:
What you are suffering from is "yeast infection". Yeast infections are a common type of vaginal infection that are particularly common in pregnant women. These infections — also called monilial vaginitis or vaginal candidiasis — are caused by microscopic fungi in the Candida family, most commonly Candida albicans.

What are the symptoms?

If you develop symptoms from a yeast infection, they're likely to plague you (and may get worse) until you treat the infection, though sometimes they come and go on their own. Symptoms may include:

  • Itchiness, irritation, soreness, burning, and redness in your vagina and labia (and sometimes swelling)
  • An odorless vaginal discharge that's often white, creamy, or cottage-cheesy
  • Discomfort or pain during sex
  • Burning when you urinate (when the urine hits your already irritated genitals)

If you think you have a yeast infection, see your physician/ doctor. She'll take a sample of your vaginal discharge and check it to confirm the diagnosis and rule out other things that may be causing your symptoms.

By the way, although antifungal medication is available over the counter, it's not a good idea to try to diagnose and treat yourself without seeing a doctor. Your symptoms may be caused by something else, such as a sexually transmitted infection, instead of or along with yeast.


How you can reduce the chances of getting a yeast infection?

It's less likely you'll get a yeast infection if you keep your genital area dry (yeast thrives in a warm, humid environment) and your vaginal flora in balance. Not all of the following suggestions are supported by hard evidence, but they're easy enough and worth a try:

  • Wear breathable cotton underwear and avoid pantyhose and tight pants, particularly synthetic ones.
  • Get out of your wet bathing suit promptly after swimming, and change your underwear after exercising if you break a sweat.
  • Try sleeping without underwear at night to allow air to get to your genital area. If you prefer to wear something to bed, a nightgown without underwear allows more air circulation than pajama bottoms.
  • Avoid bubble baths, perfumed soaps, scented laundry detergent, and feminine hygiene sprays. While it's not clear whether these items contribute to yeast infections, they can cause bothersome genital irritation so are best avoided.
  • Clean your genital area gently with warm water. (Never douche during pregnancy – or any other time.)
  • Always wipe from front to back.
  • Eat yogurt that contains a live culture of Lactobacillus acidophilus, which can theoretically help maintain the proper bacterial balance in your gut and vagina. There's conflicting evidence as to whether yogurt helps prevent yeast infections, but many women swear by it. And in any case, it's a good source of protein and calcium!
 
Excuse me, sijawahi kuwa na mimba. Umekosea man

hata kusikia hujawahi au nyie ndio form six mliomaliza juzi shule? mtu unashindwa hata kuelewa hivi vitu kweli elimu ni ndogo ktk taifa letu and JF haina tena great thinkers kama zamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom