Habar ndungu zangu, nasubuliwa sana na tatzo la fangasi wa sehem za siri nmetumia daw za hosptal ila hazjansaidia, hap nlpo sehm za pumbu zmebadil rang na kuwa nyeupe had mishapa ya damu inaonekana, nisaidien ndugu zangu nitumie dawa gan
Kwanza pole sana, wakati unaendelea na matibabu tumia pia mkorogo wa kitunguu saumu + mdalasini + mlonge + asali hii iwe badala ya chai ukiweza mchana na jioni tumia hiyo hiyo. namna ya kuvipata kama uko bongo morogoro road duka la TAFOPA namna ya kuchanganya you may call me 0755 557094 if you will not mind.
braza tafuta dawa yenye generic name-TERBINAFINE upake mara 2 kwa siku kwa muda wa wiki 1 tu!
Upake vaseline katikati ya siku kwa kuwa huwa inakausha sana ngozi!
Kila la kheri kaka!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.