Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Wana JF,

Naomba kufahamishwa kama kuna Daktari Binwa wa Ugonjwa wa Kisukari Tanzania kwani huku Wilayani kwetu naona Madaktari wanaotibu Ungonjwa huu nimepoteza imani nao kwani imepelekea jamaa zangu wawili kukatwa Miguuu.
 
Kisukari ni nini? Kisukari ni ugonjwa unaosababisha glukosi kuzidi kwenye damu (damusuziada) kwa sababu ya ukosefu wa insulini au kongosho kutoa insulini isiyotosheleza mahitaji ya mwili.

Kuna aina ngapi za ugonjwa wa kisukari?
Kuna aina tatu za ugonjwa wa kisukari:

Aina ya kwanza ya kisukari:
Ugonjwa wa kisukari unaosababishwa na kongosho kushindwa kutoa insulini kabisa. Katika ugonjwa kisukari wa aina hii mgonjwa lazima achome sindano ya insulini kila siku kwa sababu kongosho haitoi insulini kabisa.

Aina ya pili ya kisukari:
Ugonjwa wa kisukari unaosababishwa na kongosho kutoa insulini isiyotosheleza mahitaji ya mwili. Aina hii ya kisukari inaweza kutibiwa kwa kutumia vidonge au kwa kupunguza tu kiasi cha sukari kwenye chakula ua kiasi cha chakula chote unachokula.

Kisukari cha ujauzito: Kuna baadhi ya wamama ambao sukari kwenye damu zao hupanda wakati wa uja uzito na huteremka mara wanapojifungua. Baadhi ya wamama hao sukari inaweza isiteremke tena hata baada ya kujifungua na wakabakia wagonjwa kisukari moja kwa moja hasa kama ni wanene kupitiliza na baada ya kujifungua mimba nyingi. ·

Nini tofauti ya aina ya kwanza na ile ya pili ya kisukari?


Dalili



Aina ya kwanza



Aina ya pili

Umri wa kuanza ugonjwa Miaka chini ya 40. Miaka zaidi ya 50.
Muda wa dalili za ugonjwa kabla hajagundulika kuwa na kisukari. Wiki Miezi hadi miaka.
Uzito wa mgonjwa wakati anagulika kisukari Wa kawaida au pungufu Mnene.
Ketoni kwenye mkojo Zipo Hazipo.
Kifo cha haraka hasipotumia insulini. Ndiyo. Hapana.
Matokeotata ya kisukari wakati anagulika kisukari Hakuna. Yapo.
Mtu mwingine mwenye ugonjwa wa kisukari katika familia. Kwa kawaida hayupo Yupo.

Kitu gani husababisha ugonjwa wa kisukari?
- Magonjwa ya ini.
- Unene kupita kiasi.
- Msongo wa mawazo.
- Kurithi kutoka kwa wazazi.
- Kuvuta sigara wakati wa ujauzito.
- Kutumia nyama ilivyofukizwa moshi.
- Kuondolewa kongosho kwa upelesheni.
- Kuharibika kongosho kwa ajali au moto.
- Magonjwa ya kongosho mfano uvimbe kwenye kongosho unaosababishwa na pombe au virusi (mfano: Rubella, mumps, HIV
- Dawa: § Phenytoin. § Thiazide mfano bendrofluazide. § Steroidi mfano prednisolone, dexamethasone n.k.
- Utapia mlo wa mtoto kabla hajazaliwa (intrauterine malnutrition).
- Utumiaji wa maziwa ya ngombe kwa mtoto kabla ya umri wa miezi 3.
- Magonjwa ya yanayotengeneza antibodizi zinazoshambulia mwili (autoimmune disease).

Nini dalili za kisukari na damusuziada?
- Kukonda.
- Kutoona vizuri.
- Kuumwa na kichwa.
- Kuchoka bila ya kufanya kazi.
- Kula sana kwa sababu ya kusikia njaa sana.
- Kunywa maji sana kwa sababu ya kujisikia kiu mara kwa mara.
- Kusikia ganzi, kuchomwachomwa au maumivu kwenye mikono na miguu.
- Kujisaidia haja ndogo mara kwa mara, Mgonjwa hujisaidia zaidi ya mara tatu usiku.

Utafahamuje kama ugonjwa wa kisukari umeutawala vizuri?
Kama huna dalili zozote na unajisikia vizuri.
Huamki usiku kujisaidia haja ndogo zaidi ya mara moja.
Kama unapima glukozi kwenye damu na unakuta hakuna damusuziada (hyperglycaemia). Glukozi kwenye damu ni sawa ikiwa kati ya miligramu 80-144 kwa kila desilita ya damu (kati ya milimoli 4-8 kwa kila lita ya damu).

Kwa nini uhangaike kuutawala ugonjwa wako wa kisukari?
Utakuwa huna dalili zozote. Utaishi maisha marefu zaidi. Kwa hiyo utaweza kuishi maisha karibu ya kawaida. Mwili utakuwa na nguvu zaidi za kupigana na maambukizo. Utazuia matokeotata (complications) mengi yanyoweza kusababishwa na ugonjwa wa kisukari.

Je, ugonjwa wangu wa kisukari unaweza kupona?
Kwa ujumla, ukishapata ugonjwa wa kisukari utakuwa nao maisha. Lakini hakuna sababu kwa nini usiweze kuishi maisha ya kawaida na mazuri.

Je, watoto wangu wanaweza kuurithi?
Wakati mwingine zaidi ya mtoto mmoja katika familia wanaweza kuwa na ugonjwa huo. Lakini urithi wa ugonjwa huu kwa watoto ni mdogo sana kwa kawaida. Kwa hiyo usiwe na wasiwasi.

Je, nikiwa na ugonjwa wa kisukari ninaweza kuoa au kuolea na kuwa na watoto?
Ndiyo. Ugonjwa huu haumzuii mtu kuoa au kuolewa.

Je, ugonjwa wa kisukari ni ugonjwa wa kuambukiza kama vile kifua kikuu au ukoma? Hapana. Huwezi kuambukizwa ugonjwa wa kisukari.

 
DR ABBAS , yuko kariakoo barabara ya kuelekea muhimbili kabla hujavuka mataa [traffic light] za fire mkono wa kulia kuna nyumba ya kawaida ina maandishi makubwa ya rangi nyekundu ABBAS HOSPITAL jamaa ni mtaalamu haswa ,ndiye anayeendesha semina za madokta na manesi toka mikoani kwa ajili ya matibabu ya kisukari
 
Mmmh,nadhan wadau watakusaidia.ila hujaweka wazi mwezetu uko mkoa gani na wilaya ipi.

moja ya magonjwa magumu kutibu ni diabetes mellitus. Ni afadhali ukutane na mgonwa wa ukimwi kuliko hawa. Kwanza wana poor adherence to medications, hawafuati masharti aafu pia nature ya ugonjwa wenyewe ni ishu.

Hawa watu akipatwa na stress kidogo tu sukari inaenda juu, infection inaongeza sukari na inaongeza nafasi kwa wadudu kuendelea kuwapo. Wengi wa hawa wagonjwa wanakunywa pombe, diet ni ishu, yaani you will regret knowing a diabetic patient. Wito wangu kwa mtoaji wa mada: kuhudumiwa na bingwa wa kisukukari haikufanyi kupona kisukari wakati wewe mwenyewe haufanyi juhudi za kupambana nao. Zaidi zaidi atakuongeza kwenye list yake ya research!
 
Wana JF,

Naomba kufahamishwa kama kuna Daktari Binwa wa Ugonjwa wa Kisukari Tanzania kwani huku Wilayani kwetu naona Madaktari wanaotibu Ungonjwa huu nimepoteza imani nao kwani imepelekea jamaa zangu wawili kukatwa Miguuu.

Nenda Shree Hindu Mandal Hospital, na ufanye booking ya kuonana na Dr Kaushik. Hata kama nafasi itapatikana baada ya mwezi, jitahdi uonane naye. Ni daktari mzuri sana wa magonjwa ya kisukari.
 
Nenda Shree Hindu Mandal Hospital, na ufanye booking ya kuonana na Dr Kaushik. Hata kama nafasi itapatikana baada ya mwezi, jitahdi uonane naye. Ni daktari mzuri sana wa magonjwa ya kisukari.

Tatizo la dr kaushik yupo bize sana unakuta anamsikiliza mgonjwa huku anaongea na simu!
 
hakuna cha daktari bingwa wala professor, wote waganga njaa tu.
Hawana utaalam wa ukweli. Ukienda wanakuongezea mzigo wa masharti kama vile 'fanya haya, usifanye haya' au mzigo wa 'kunywa dawa yangu utapona'
Gharama zao ni mzigo mwingine. Wezi watupu.
 
Mkuu Mchokozi,

Nadhani kwanza unapaswa utambue kuwa ugonjwa wa Kisukari kuwa ni ugonjwa wa muda mrefu(Chronic) na wenye kuleta madhara(complications) karibu kila kiungo cha mwili, hivyo matibabu yake hutegemeana sana na muda wa mgonjwa kufika(kulingana na ugonjwa wenyewe) hivyo unaweza kuwalaumu madaktari lakini si tatizo halisi.

Kukusaidia ungetaja wilaya iliyopo au angalau mkoa uliyopo ukasaidiwa, kwa hapa Dar es salaam fika Muhimbili, Diabetic clinic.
 
Last edited by a moderator:
hakuna cha daktari bingwa wala professor, wote waganga njaa tu.
Hawana utaalam wa ukweli. Ukienda wanakuongezea mzigo wa masharti kama vile 'fanya haya, usifanye haya' au mzigo wa 'kunywa dawa yangu utapona'
Gharama zao ni mzigo mwingine. Wezi watupu.

Mkuu Makene, mbona hasira?! kwa hiyo kutibiwa hadi upewe dawa?

Hii ndiyo shida ya jamii yetu, tunataka turundikiwe orodha ndefu ya dawa,hapa hapo tunalalamika 'wanatuambia tukanunue dawa kwenye maduka yao'

Tofautisha na 'Drs' wa kujiita, yaani kuwa ameabandika bango mahali na kuanza 'kutibu' na daktari aliyesomea.
Kuwa na heshima na kudhibiti hasira, Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Wana JF,

Naomba kufahamishwa kama kuna Daktari Binwa wa Ugonjwa wa Kisukari Tanzania kwani huku Wilayani kwetu naona Madaktari wanaotibu Ungonjwa huu nimepoteza imani nao kwani imepelekea jamaa zangu wawili kukatwa Miguuu.

Mtafute Prof Mnyuku wa SUA Ana Tiba mbadala
 
Ndugu wadau,

naomba kujua maendeleo yaliopo sasa katika tiba ya sukari duniani, maana naona tafiti nyingi zimelenga kutafuta tiba ya ukimwi ila maradhi mengine ambayo ni tishio kwa jamii hayapo wazi.

Wadau naomba kujua kutoka kwenu, maana asili ya ugonjwa wa sukari ni kongosho(pancreas) kushindwa kufanya kazi.
Je tiba ya kuweka kongosho jingine (pancreas transplantation) pamoja na pacreatic islet cell transplantation imeweza kuwa suluhisho la ugonjwa huu????

Wadau tujuzeni.
 
Usihangaike tafuta nauli nenda Loliondo kwa Mchungaji Mstaafu yeye hupata dosi kwa kuambiwa na $mungu yesu
Atakupa kikombe na kupona mara moja baada ya hapo kula asali. Hata gunia la sukari

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Diabetes is a condition when the body has high level of blood glucose and the excretion of the excess glucose in the urine. It is a chronic nutritional disorder. In this case, the body is unable to break the sugar levels and also cannot produce insulin. While the former causes

excess of sugar level in the blood, the latter is concerned loss of energy. Diabetes is gradually emerging out as a big problem in the world at large. While the disorder mostly strikes the obese people in middle or older age, it is also common in the youth as well. The normal sugar

content should be is 80 -120mg per 100 ml of blood. When it is above this level, it needs to be controlled. Diabetes causes hunger, weight loss, thirst, urination, dehydration. In severe cases also, heart disease, hearing and vision problems are also caused. However, the level of sugar can be controlled with minimum efforts. Read onto know some home remedies to treat diabetes naturally.


Home Remedy For Diabetes


  • Having fenugreek seeds water is one of the most effective remedy for treating diabetes. Saturate 90 -100 seeds in 250 liters of water. Keep them overnight. In the morning mash the seeds and strain them. Drink this water everyday.
  • Bittermelon or bitter gourd is also beneficial in curing diabetes. A person suffering from diabetes can have half cup juice regularly. Another method would be to fry the bittermelon and add salt and other condiments.
  • Take some honey and combine equal amounts of turmeric powder and dried gooseberry powder to it. Have this mixture regularly. Another method would be to mix equal amounts of gooseberry juice and fresh turmeric juice. Intake this mixed juice on an empty stomach daily.
  • Mango leaves also fight diabetes. Take about 3-4 mango tree leaves and boil them in water. Have this water when warm.
  • For people who have higher sugar level, chew 3-4 leaves of jamun (Syszygium cumini) in the morning and evening. One can also mash 3-4 leaves of jamun tree in half cup of water and drink it.
  • Dip 60 grams of fresh ripe fruit in 300 ml of boiling water and cover it. After about half an hour, mash the jamun and strain it. Drink this juice three times a day.
  • Mix 3 tablespoons of cinnamon powder to a liter of water. Heat this water for 20 minutes. Strain this mixture and have the water when warm.
  • Another easy yet useful home remedy to reduce blood sugar level would be to chew two leaves, each of neem and bilva in the morning.
  • Soak a few almonds and keep them overnight. Have them first thing in the morning in an empty stomach.
  • Consume ten leaves each of basil, neem and belpatras with a glass of water on an empty stomach in the morning. This would be very useful in treating diabetes.
  • Take a jar of water and immerse the peels of green plantain, after it has been washed. Intake this water three to four times in a day.
  • Consume 2 tablespoons of apple cider vinegar thrice a day to relieve of diabetes.
  • Diabetic patients should increase the consumption of soybeans, celery, cucumbers, string beans, onion and garlic in their diet.
 
Natural Alternatives for Type 2 Diabetes





NATURAL REMEDIES FOR TYPE TWO DIABETES

Whether you are checking your blood sugar levels at home or shopping for fiber-rich foods at the grocery store, having type 2 diabetes requires a high level of self-management.

Doctors recommend patients with diabetes stick to a diet of 40-60 percent carbohydrates, 20 percent protein and 30 percent of less fat. Losing any amount of weight can improve overall glycemic control.

Part of your self-management plan may include finding natural alternatives to maintain safe blood sugar levels.
Clinical studies reveal Complimentary and Alternatives Medications (CAM) do exist with varying degrees of safety and

effectiveness. A group of doctors has prepared a "Systematic Review of Herbs and Supplements for Glycemic Control in Diabetes" for the medical journalDiabetes Care.

[h=3]Natural Remedies for Type 2 Diabetes[/h]
Coccinia indica for Diabetes Type 2

East Indian healing medication that possesses insulin mimetic properties.


American Ginseng for type 2 diabetes


Panex Quiquefolius, an herb root that can decrease fasting blood glucose and HbA1C.


Momordica charantia as a natural remedy for type 2 diabetes-Balsam pear that may increase insulin secretion, tissue glucose uptake, liver muscle glycogen synthesis, glucose oxidation and decrease hepatic glucogenesis.


L-caritine for type 2 diabetes

An amino acid that affects insulin sensitivity, and may enhance glucose uptake and storage.


Gymnema sylvestre- Indian plant that may improve glycemic control.


Aloe vera –Juice made from aloe gel may decrease fasting blood glucose and HbA1C.


Vanadium- Mineral that acts as an insulin mimetic.


Chromium and cinnamon may improve insulin sensitivity.


Acupuncture is another alternative remedy for type 2 diabetes : It can act on the pancreas to enhance insulin synthesis.


Hydrotherapy- Regular hot tub use helps increase the blood flow to the skeletal muscles.
The American Diabetes Association encourages CAM users to report positive or adverse reactions to these treatments. Further trials measuring efficacy are necessary.

Most type 2 diabetes patients require oral medication in addition to CAM, diet restrictions and exercise. Talk to your doctor about which medication is right for you.

Oral medications reduce blood sugar, and some provide weight loss benefits. Most are associated with mild side effects that decrease after a few weeks of use.


Biguanides block the liver from making sugar. They may lower cholesterol and have enabled users to lose up to 10 pounds.


Sulfonylureas stimulate cells in the pancreas to release more insulin. They may cause heart problems, low blood sugar and weight gain. This is amongst effective natural remedies for diabetes type two.


Thiazolidinediones for type 2 diabetes:

It helps insulin work better in the muscle and fat and reduce glucose production in the liver. They may cause weight gain. One thiazolidinedione, Actos (pioglitazone), can have severe side effects, such as impaired vision, bone weakness, heart problems and bladder cancer.

Bladder cancer involves painful tests, surgeries, chemotherapy and radiation treatments. Symptoms of bladder cancer

are blood in the urine, increased need to urinate and discomfort while urinating. Thousands of actos users who have developed bladder cancer have filed an actos lawsuit.


Meglitinides stimulate cells in the pancreas to release more insulin. They may cause low blood sugar. Mixing with alcohol can cause vomiting, flushing or sickness.


Alpha-Glucosidase inhibitors delay the breakdown of polysaccharides. They may cause gas and diarrhea.


D-phenylalanine Derivatives help the pancreas make more insulin after meals. They may cause weight gain and dizziness.

DPP-4
inhibitors prevent the breakdown of a compound that naturally reduces glucose levels, allowing the compound to remain active longer. They may cause cold-like symptoms.

Before adding CAM to your treatment, talk to your doctor to see whether any oral diabetes medications you may

be already taking will interact with herbs, vitamins or therapy for type two diabetes. Don't start or stop a medication without talking to your doctor first.
 
Back
Top Bottom