Thanks ulotuwakilishia picha hii........naona maeneo mengi yako wazi hakuna majengo hivyo viwanja vinauzwa ??
kwahiyo hiyo Mlimani city complex ilikuwepo mwaka 47???
Katika hiyo picha barabara haijakamilika, na ile parking pale Mlimani haionyeshi na jengo bado halipo, si 47 bali 46!!!kwahiyo hiyo Mlimani city complex ilikuwepo mwaka 47???
Katika hiyo picha barabara haijakamilika, na ile parking pale Mlimani haionyeshi na jengo bado halipo, si 47 bali 46!!!
Mambo gani ya kutuletea picha za Googlearth za mwaka 47?
hivyo viwanja haviuzwi mama, hiyo yote ni mali ya Chuo kikuu na hata hiyo complex ya Game city (Mlimani city) imejengwa kwa nguvu ya mafisadi, viwanja ni vya reserve ya chuo kwa ajili ya chuo future plan
jamani natafuta Bunju b kwa masister kwenye Googlearth nitapata wapi inapoonekana poa?
Hiyo future plan ya baada ya miaka hamsini ndio iwe mali ya chuo. Unadhani after 50 years bado watanzania watakuwa wanahitaji majengo kama haya ya MLIMANI CITY.