Smiles
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 1,231
- 107
Hivi mbona mimi huwa siipati bahati hii?
U have been a bad boy lately.....
Hivi mbona mimi huwa siipati bahati hii?
...Nilishapitia magumu kidogo lakini mungu mkubwa jahazi likakaa sawa na safari inaendelea. nakubaliana na wewe ndoa ni tamu lakini kuna wakati huwa shubiri.
Hi dude!!!
whats up my friend...
Nampongeza sana sajenti na akumbuke tu kwamba the first few years ni honeymoon, aombe iwe extended maana challenges za ndoa ni kasheshe
U have been a bad boy lately.....
amejirekebisha mazeeu have been a bad boy lately.....
U have been a bad boy lately.....
amejirekebisha mazee
Unataka kubadili jinsia?:mod:
Suppose I change?
amejirekebisha mazee
Bad boys are the better boys....
just thinking loudly...
My apology mr. treasurer......
Karibu IPC......:becky:
Na hii sio status revealing......?? :becky::becky:
..NI kweli tupu. Kwa mtazamo wangu unapoingia kwenye maisha ya ndoa hata life style yako unaweza kujikuta unalazimika kuibadirisha. Si unajua kama ulizoea kukaa Zero pub mpaka kunapambazuka ni wazi huwezi kufanya hivyo ukiwa na mke, hata attachments unalazimika kuzipiga chini kama sio kuzipunguza kwa kiasi kikubwa!!!! otherwise mh!!!Kuna mdaua alisema ndoa ni kukubali na kuingia mkataba wa kuishi na kero za mwenzako maisha yako yote...sometimes downs zinakua nyingi sana...
Tuatakaa meza moja?
Again apology...ile reggers: ni ya kaizer au aspirin?