Mtuache
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 251
- 638
Siku 182 zimeisha; siku 182 zimesalia kuumaliza mwaka 2023. Umefanya nini cha maana mpaka kufikia nusu ya mwaka 2023.
Uliyoyapanga kufanikifisha Mwaka 2023 yametimia? Umeshayaanza? Au utaanza kesho? Kesho huwa haifiki, wazungu wanasema "Tomorrow never come"
nini utafanya kwenye nusu iliyobakia? usinijibu mimi. Haya ni maswali muhimu sana kujiuliza kwa mtu aliye hai mwenye malengo na mwenye kujua nini maana ya maisha. Kama uliyoyapanga hujatimiza, bado hujachelewa; una siku 182 za kutimiza yale uliyoyapanga kwa mwaka 2023
KUMBUKA:
1. Kusali sana
2. Kutunze afya yako
3. Kujali muda
Uliyoyapanga kufanikifisha Mwaka 2023 yametimia? Umeshayaanza? Au utaanza kesho? Kesho huwa haifiki, wazungu wanasema "Tomorrow never come"
nini utafanya kwenye nusu iliyobakia? usinijibu mimi. Haya ni maswali muhimu sana kujiuliza kwa mtu aliye hai mwenye malengo na mwenye kujua nini maana ya maisha. Kama uliyoyapanga hujatimiza, bado hujachelewa; una siku 182 za kutimiza yale uliyoyapanga kwa mwaka 2023
KUMBUKA:
1. Kusali sana
2. Kutunze afya yako
3. Kujali muda