watanzania tuungane kuwatokomeza viongoz wasio tufaa katka vyanja za uongoz 2kiongozwa na CDM ambapo majmbo yanazid kuchukuliwa na CDM huku mafsad wakbak macho juu
We uko dunia gani?.Si tunalia na LEMA wewe unasema majimbo yanazidi kuchukuliwa na lugha yako ya "uso kitabu".