mkakaflani
Senior Member
- Sep 30, 2023
- 153
- 345
Hatimae yule tapeli aliyekua analalamikiwa hapa jukwaani, baada ya kumpiga bodaboda wa jamaa 50K, amekuja inbox kwangu kama mwalimu ili ampige kibunda bodaboda wangu na aniharibie kabisa uaminifu kwa jamaa (bodaboda).
Ila Kwa sababu somo nililipata humu, imebidi nimpigie mwalimu kuhakiki kama namjua na kujua kama kweli ana uhitaji wa usafiri.
Cha ajabu kapokea anaongea kama amebugia kiazi Cha moto, nimerudia kupiga anakata na saivi ndo hapatikani kabisa.
Mtanisamehe Kwa uandishi mbovu.
View attachment 2785700
Ila Kwa sababu somo nililipata humu, imebidi nimpigie mwalimu kuhakiki kama namjua na kujua kama kweli ana uhitaji wa usafiri.
Cha ajabu kapokea anaongea kama amebugia kiazi Cha moto, nimerudia kupiga anakata na saivi ndo hapatikani kabisa.
Mtanisamehe Kwa uandishi mbovu.
View attachment 2785700