Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,937
- 46,874
Hajapata hata teuzi moja sijui alikosea wapi huyu jamaa
Daa
Mkuu ameishatutoka huyo
Tusubiri teuzi zetu na sisi naona
Sent from my iPhone using Tapatalk
Hajapata hata teuzi moja sijui alikosea wapi huyu jamaa
Ata ww utapungua hatuwezi wote kuwa ufipaNaona CCM wanazidi kupungua Ni Jambo jema huwa Sina unafiki Mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio 42 try to count from 1972-2020Hakuwa Mzee nadhani ana Takribani miaka 42.
Kwa waliongalia zamani, mimi nilianza kumuona tvz baadae tvt then tbc ndio nikaacha kufatilia tbc, pia ile kashfa yake pia ilafanya nisimfatilie kabisa
Mm mwenyewe nikashangaa 1972 -2020 anakuwaje na 42? hata kama sijui hesabu.Hapo amekwenda na 48 kasoro mmoja kwenda kama Lughe Mtahaba.Sote ni wa Mungu na kwake tutarejea
Ohh noo.. Sad sad.Duh..am shocked..sijamuona kitambo maskini..alafu niliwahi sikia hajawahi kuoa...oh
Umejuaje ni maskini, unamfaham?Apumzike kwa amani .
Ni miongoni mwa waandishi wachache Mahiri aliyekufa masikini .
Yah niliwahi kukutana nae pale siku moja kapaki gari anavuka barabara kuingia Chef asili...
Hapana, nijuavyo mimi, alikuwa na mke pale magorofa mawili iringa road dodoma, nilisikia pia alishawah kuwa na wengine kabla ya huyu. Hata ndege aliyotoa mh ilimchukua mke wake dodoma ikamleta dar ndo wakaenda kuzika zenji.Duu kumbe hakuwahi oa alikuwa handsome haswa
Inasemekanaga hvyoOhh noo.. Sad sad.
Hakuwa hata na watoto.!?? RIP
Hapana, nijuavyo mimi, alikuwa na mke pale magorofa mawili iringa road dodoma, nilisikia pia alishawah kuwa na wengine kabla ya huyu. Hata ndege aliyotoa mh ilimchukua mke wake dodoma ikamleta dar ndo wakaenda kuzika zenji.
Sent using COVID-19