Tanzia: Mkuu wa Mkoa wa Mara aanguka ghafla na kufariki dunia!

nime sikitishwa na namna ambavyo mwanae amepata hizi taarifa za kifo cha baba yake mzazi...tukiwa kwenye semina morogoro na bint yake, alipata txt kutoka kwa # ngeni ikimsihi aingie Jf mara moja, bint bila kusita aliingia na ghafla kukutana na hizi taarifa za kusikitisha...kwa kweli baada ya hapo nilikitika sana
 
nime sikitishwa na namna ambavyo mwanae amepata hizi taarifa za kifo cha baba yake mzazi...tukiwa kwenye semina morogoro na bint yake, alipata txt kutoka kwa # ngeni ikimsihi aingie Jf mara moja, bint bila kusita aliingia na ghafla kukutana na hizi taarifa za kusikitisha...kwa kweli baada ya hapo nilikitika sana
Samahani hv watoto ndio wanafanya Tanesco!?
 
RIP. mzee Tupa

I say fly away home to Zion (fly away home).
One bright morning when my work is over,
Man will fly away home
by bob Marley

kuna haja za kuimarisha hospitali zetu ili kuweza kutoa huduma za dharura na kuweza kuokoa maisha ya watu. Ni muda muafaka kufanya maamuzi ili kuweza kuokoa maisha ya watanganyika wengi.

Mob, naungana na wewe kuhusu huduma za afya, lakini hapa kuna utata kidogo. Heart Attacks nyingi hutoa ishara mapema kabla ya kutokea. Kuna uwezekano kwamba hizo ishara zilipuuzwa na matokeo yake Huwa sio mazuri. CPR pia ingeweza kuokoa maisha ya mheshimiwa.
 
Pole kwa familia.
Iwe ukumbusho kwa tuliobaki kuwa tu safarini.
R. I. P Tupa.
 
R.I.P mh,Tupa,ntakukumbuka sana 2011 kipindi nipo coed udom wakati wa mgomo,tena wewe ukiwa muongozaji wa msafara wa waziri mkuu kama mkuu wa wilaya,wanafunzi tulikuteka na kukufungia kwenye gari kwa zaidi ya saa3 na huku ukilazimishwa kuzima kiyoyozi.
 
Pichani anaonekana alikuwa mgonjwa huyu

Huyu Tupa jana alikataa kuzindua mradi wa maji .na akatoa amri baada ya siku 14 kama autakua umemalizwa mhandisi wa maji wilaya na mjenzi .wakamatwe na polisi ,cha ajabu leo ndio hivyo yeye ndio kaenda mahakamani ,anyway R.I.P Tupa .
 
Labda ana kifafa...
Pole sana mkuu wa mkoa....

Wakuu wa mikoa na wilaya wachaguliwe na wananchi..
Siyo kuwajaza wazee wastaafu wasio na vision

Acha hizo wewe!!

Wewe una vision gani mburura wewe? Au kuweka ma.sa.bu.ri nje na kuning'iniza earphone ndo vision hiyo? Alikuwa na uzee gani wa kushindwa kutekeleza majukumu yake? Hivi unafikiri wakichagua wananchi wenyewe hakutakuwa na wazee kwenye hizi nafasi? Haya maoni ulikuwa wapi kuyapeleka kwenye tume ya mabadiliko ya katiba?
 
r.i.p mzee wa watu
sio mambo yetu yale..maana awa maveterani kwa totoz awajaachwa hata
 
Back
Top Bottom