LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Pole mungu akupenguvu pole sana.
NASHUKURU SANA KAMANDA WANGU,SINA MENGI YA KUSEMA ZAIDI YA KUMTAJA MUNGU KATIKA HALI YOYOTE ILE.
Thankx!!!!!!!!!!!!!!!!
Pole mungu akupenguvu pole sana.
Nashukuruni sana ndg zangu,hakika nimempata salaam zenu na sina chochote cha kusema zaidi ya kwmb natambua sana salaam zenu tena sana na naiheshimu sana kama ilivyoada yetu humu jamvini,Zaidi ni kwmb kama alitangulia kusema Mzee Wa Rula ni hakika tumempoteza mtoto leo saa tatu na nusu asubuhi ktk hosptal ya Mount Meru ambaye alizaliwa tar mwezi uliopita na ghafla tar 5/12/11 alibadilika na tukampeleka hosptali na mpk leo mauti yanamkuta na hakika Mi pamoja na familia tupo ktk wakati mgumu kwn hakika tulimpenda sana ila MUNGU mwny uweza wa yote amempenda zaidi na mtoto alikabiliwa na ugonjwa ambao madaktari wa Sefsis na sikuweza kuwanukuu vema lakini nakumbuka wameniambia hivyo na mazishi tumefanya leo hapa nyumbani. Kwa kweli wanaJF nimewakubali ktk umoja tulionao kw muda wowote mtu uitajipo. Nawashukuru wote mlioguswa na kifo cha mtoto wetu! Muwe na wakati mzuri na zaidi tumtukuze MUNGU mwenye uwezo!
Pole sana mkuu kwa msiba ulowapata. Najua inauma sana tena maumivu yake hayaelezeki hasa kwa mama mtoto. Mungu azidi kuwatia nguvu na kuwapa faraja.
Rip daughter/Son
Inalillahy wainaillahy Rajiun