Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
WanaJF,
Napenda kuchukua fursa hii kuwajuza kuwa mwanaJF mwenzetu aitwaye LiverpoolFC amefiwa na mwanae mchanga leo asubuhi muda wa saa tatu na nusu katika hospitali ya Mount Meru iliyo jijini Arusha.
Taarifa ilichelewa kitufikia kidogo lakini naomba wote kwa ujumla wetu kuelewa juu ya tukio la huzuni lililomkumba mwenzetu.
Mazishi yameshafanyika leo tarehe 13.12.2011.
LiverpoolFC binafsi nakupa pole mkuu, nakuomba uwe mvulivu na mtulivu katika kipindi hiki kigumu sana ulichonacho. Zidi kumuomba Mungu, zidi kumtukuza Bwana maana sote ni wake. Narudia tena pole sana mkuu.
Napenda kuchukua fursa hii kuwajuza kuwa mwanaJF mwenzetu aitwaye LiverpoolFC amefiwa na mwanae mchanga leo asubuhi muda wa saa tatu na nusu katika hospitali ya Mount Meru iliyo jijini Arusha.
Taarifa ilichelewa kitufikia kidogo lakini naomba wote kwa ujumla wetu kuelewa juu ya tukio la huzuni lililomkumba mwenzetu.
Mazishi yameshafanyika leo tarehe 13.12.2011.
LiverpoolFC binafsi nakupa pole mkuu, nakuomba uwe mvulivu na mtulivu katika kipindi hiki kigumu sana ulichonacho. Zidi kumuomba Mungu, zidi kumtukuza Bwana maana sote ni wake. Narudia tena pole sana mkuu.