Tanzia: KakaKiiza (JF Member) afiwa na Mkewe!

very sorry, God will provide him with strength, tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Poleni sana kwa msiba mzito... Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi... AMEN..
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Pole sana kaka yangu kiiza. Mungu akutie nguvu na ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
kazi ya Mungu haina makosa.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Duh very sad......Pole sana Mkuu, Mungu akupe Moyo mkuu katika kipindi hiki kigumu kwako.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Pole sana Kaka KIIZA Mungu akupenguvu katika kipindi hichi kigumu cha kuondokewa na mkeo.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Wana Bodi,

Nasikitika sana kuwapa taarifa za msiba wa Mke wake na Kaka Kiiza, kilichotokea sasa hivi. Nimepata ujumbe wake kwa njia ya sms juu ya taarifa hizi za kusikitisha.

Naungana na ndugu na jamaa wa ndugu yetu katika maombolezo ya msiba huu mkubwa.

Kaka Kiiza, Asured kwamba mawazo yetu na sala zetu yapo na nawe katika kipindi hiki chote cha msiba! Jipe Moyo Mkuu kwa kuwa kazi ya Mungu haina makosa hata kidogo...

Binafsi sikupata details zaidi!! nitakapopata nitaziweeka hapa


Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, Jina la Bwana Libarikiwe!

Kwa wale watakao weza kuhudhuria msiba safadhali tukamtie mwenzetu Moyo!

Kiresua

More info!!

Mwasiliano na Kaka Kiiza ni 0752 30 78 78

Msiba uko Tegeta kwa mama wa marehemu. Unashuka Tegeta Namanga, ukiuliza kwa Abdallah Majura, mtangazaji wa zamani wa BBC mtu yoyote anakupeleka.

Tuko pamoja KakaKiiza, mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi. AMEN
 
Back
Top Bottom