Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,450
- 25,592
Maskini Baba Askofu!! Alikuwa anaandamwa na tuhuma za ufisadi mkubwa hapo Arusha. Sijui kama kweli alihusika, na sijui kama alipata fursa ya kutubu kama kweli anahusika!
Gazeti la Habari Leo sasa watakosa habari ya kuandika..