zee la weza
Senior Member
- Feb 7, 2012
- 190
- 29
tatizo, chanzo cha kifo ni ngono na mtoto mdogo lulu hivyo hasitaili heshima
Kwani wewe anakupenda nani?? Ubaguzi hadi msibani??Magamba yamewaathiri sana hadi ubongoni...Kumbe Lulu ni Mmachame?
Nazidi kuwachukia dada zangu wa kimachame..
ni kweli kaka, amekutwa kwenye gari yake aina ya Haria amefariki dunia, Siamini macho yangu........
Rip kanumba
lulu imekula kwako dada