Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
R.I.P the Great,huyo mwanamke atafutwe na afikishwe kwenye vyombo vya sheria,Imetugusa sana wadau the Late Kanumba.
Bara lipi wanaruhusiwa kutukana wazazi wao?
mkuu! Hakuna kuomba hapa, kifo chake kama inasemekana, 7bu ni mapenzi, while huyu lulu c mke wake. Mungu wa kweli hana muda wakusikiliza kelele. Infact, tasnia ya filamu ni 1 ya kitengo cha shetani.! Sorry huo ndo ukweli
Kama ni kweli basi R.i.p kipenzi cha wengi.
Ray kapata pa kutokea sasa
Kanumba wiki iliyopita katika kipindi cha Take One kinachorushwa hewani kupitia Clouds TV alimtolea uvivu baba yake, Mzee Kusekwa akidai amechangia katika mateso yake aliyoyapata utotoni.
Baada ya Kanumba kueleza hayo, baadhi ya watu wakiwemo wasanii wenzake walimshangaa na kueleza kuwa kitendo alichokifanya si cha kiungwana kwani mzazi ni mzazi tu, hata kama amekosea si sahihi kumdhalilisha.
Ile bible statement isemayo ''Waheshimu baba yako na mama yako ili siku zako zipate kuwa nyingi'' Ina mahusiano gani na hiki kifo. katika afrika bara ambalo uchawi bado una nguvu sana watoto hawashauriwi kuwashutumu wazazi hadharan, ni hatari sana.
Kuwa muungwana au kwasababu sio ndugu yako.R.I.P KANUMBA.