Tanzania yapoteza wanajeshi watatu Sudan

R.I.P wanajesheshi Watatu....

Tungeomba nafasi zao zijazwe na Shimbo,Kova na zomba
 
Last edited by a moderator:
Habari za jioni, natumaini zoezi la sensa linaendelea vizuri huko nchini.

Habari mbaya ni kwamba wanajeshi watatu wa tanzania wamefariki dunia baada kuzama majini.

Hao ni wale wa kundi la TANZBATT 6 ambao waliondoka huko nyumbani wiki iliyopita.

Miili ya wawili imepatikana, mmoja bado, miili itarudishwa Tanzania tarehe 28 Agosti kwa ajili ya mazishi.

Taarifa hizi nimezitoa baada ya "next of kin" kutaarifiwa. Poleni sana wafiwa.

Source: Mimi mwenyewe MOSHE DAYAN.

tunakushukuru kwa taarifa. nikadhania kazi ya al shabaab
 
mambo ya sudan yanawahusu nini kwa nini wasije kwao waendelee na kazi zao.

asiyejua maana, hajui maana. ukienda operation za kimataifa
(a) Unaongeza kipato chako kwani unalipwa kimataifa.
(b) Nchi inapata forex kwani unalipwa kwa dollar
(c) Ni namna pekee ambayo pesa ya ulimwengu inagawanywa.

Rwanda ni nchi ndogo sana, lakini inaongoza kwa kuwa na askari wengi wanaofanya kazi za kulinda aman nchi za nje. Kipato wa kipatacho, kinasaidia kuwekeza nchini kwao na hivyo kujiimarisha kiuchumi kama nchi
 
asiyejua maana, hajui maana. ukienda operation za kimataifa
(a) Unaongeza kipato chako kwani unalipwa kimataifa.
(b) Nchi inapata forex kwani unalipwa kwa dollar
(c) Ni namna pekee ambayo pesa ya ulimwengu inagawanywa.

Rwanda ni nchi ndogo sana, lakini inaongoza kwa kuwa na askari wengi wanaofanya kazi za kulinda aman nchi za nje. Kipato wa kipatacho, kinasaidia kuwekeza nchini kwao na hivyo kujiimarisha kiuchumi kama nchi
Pia wapiganaji wanapata experience na kujifunza kutoka kwa majeshi mengine hasa kwenye joint ops...,
 
asiyejua maana, hajui maana. ukienda operation za kimataifa
(a) Unaongeza kipato chako kwani unalipwa kimataifa.
(b) Nchi inapata forex kwani unalipwa kwa dollar
(c) Ni namna pekee ambayo pesa ya ulimwengu inagawanywa.

Rwanda ni nchi ndogo sana, lakini inaongoza kwa kuwa na askari wengi wanaofanya kazi za kulinda aman nchi za nje. Kipato wa kipatacho, kinasaidia kuwekeza nchini kwao na hivyo kujiimarisha kiuchumi kama nchi

umeshinwa kutumia tanzanite na dhahabu kuingiza dollar,. Umeamua hiyo njia ndo bora,. Kweli nyie ccm mnaubunifu mkubwa
 
.......[/QUOTE]
Natumai hata maadui wa ndani nao wanapaswa kulindwa na hawa hawa wanajeshi. Kazi ya Jeshi ni kuhakikisha ulinzi na usalama wa wananchi na raslimali zetu zisiibwe na wageni na watu wa ndani wenye uchu na mali pasi kuwa na utaratibu unaonufaisha wananchi wote. Ndiyo maana linaitwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.

Sijui kama ntakuwa nimekushawishi mkuu lakini ni imani yangu na msimamo wangu kuwa endapo mambo ya ndani yanakuwa shaghara baghara, lazima Jeshi lisimame kidete kuhakikisha tunarudi kwenye mstari (ndo maana nchi zingine na hata hapa kwetu in 80's mapinduzi yanatokea ili kulinusuru taifa na walanguzi na wachuuzi wa raslimali zetu).

Si lengo langu kuwakejeli ama kuwalaumu wanajeshi wetu waliofia Sudan, ila kukumbusha tu kuwa hata ulinzi wa raslimali za watanzania zinazoibwa na wachache nalo ni jukumu lao pia. Tusisafishe kwa wengine tu alhali kwetu kunaharibika (Tuondoe kibati jichoni mwetu kabla ya kuondoa machoni kwa majirani).
Aksante mkuu.
 
yaani wanajeshi wale naowaona mwenge na vitambi vile wanawezaje kujiokoa??? wenzao wanakufa mstari wa mbele kwenye vita wao wanakufa kwenye maporomoko..Tanzania bana...hata hivo RIP wanajeshi na poleni next of kin wa wanajeshi watatu
 
Duu hili jeshi limeshindwa kulinda mpaka wetu na Malawi linakwenda Sudan RIP masoja mliopoteza maisha
 
asiyejua maana, hajui maana. ukienda operation za kimataifa
(a) Unaongeza kipato chako kwani unalipwa kimataifa.
(b) Nchi inapata forex kwani unalipwa kwa dollar
(c) Ni namna pekee ambayo pesa ya ulimwengu inagawanywa.


Rwanda ni nchi ndogo sana, lakini inaongoza kwa kuwa na askari wengi wanaofanya kazi za kulinda aman nchi za nje. Kipato wa kipatacho, kinasaidia kuwekeza nchini kwao na hivyo kujiimarisha kiuchumi kama nchi

All this bullshit...wakubwa watakula wapi? waulize walioenda Comoro kama walipata ngapi? usually they get just peanut to justify the end
 
Hao Wanajeshi wamekufa Mashahidi. Mwen yezi Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi.Ameen.
 
Huo si umbea tu. Wameshindwa ya malawi wanang'ang'ania ya wenzao?

Kwenye tumaji kama kajito tu wanakufa.

Haya na watakufa sana na utumwa wao kwa CCM. Wenzao wa SIRIA wakamgeuka MTEMI wao wao wanashangaa tu.
 
nimegundua kuna watoto wengi sana jf siku hizi.., babies still with milk teeth.., wanapost upuuzi kabisa..,

Iko wapi pan-africanism..., wasudani darfur wanauawa na janjaweed.., jeshi letu kwa heshima walopewa na UN wanakwenda kuwasaidia hawa watu..., kwa gharama za UN.., mtu unalalamika..,mbna wabinafsi sana nyinyi vitoto msojua lolote..., kwa mission kama hizi mnajua nchi inafaidika vp na foreign policies na goodwill za donors wetu...,

Jeshi lenyewe linapata uzoefu.., si ndio nyinyi hua mnasema jeshi halina kazi..., bila kujua kuna watu wanalala kwny mahandaki daily...,

Kuna nchi nyingi zingeweza kupewa hii priviledge lakn we got it over south africa, egypt, cameroon and other strong armies..., bado kuna vitoto humu vinaongea upuuzi kabisa..,

Huo mpaka ww ungejua kinachotendeka kama sio kazi ya CMI?? Au ww kuziona jamiiforum ndo ukadhani breakin news??
Mambo msiyoyajua msiyaongelee kabisa

Hivi ulijua kila j3 au j4(inategemea na brigade) kuna briefing ya ulinzi wa mipaka na taarifa za hali ya usalama za nchi jirani?? Eti jeshi halina kazi wana vitambi.., mngekua na jeshi legelege ungezaliwa ww mtoto.., kama ungezaliwa ungekua mganda maana hii nchi ingekua chini ya idd amin

Have respect to kaka/dada zenu, mama/baba zenu walio kwny military and last but not least to the deceased.., rip..,
 
Natumai hata maadui wa ndani nao wanapaswa kulindwa na hawa hawa wanajeshi. Kazi ya Jeshi ni kuhakikisha ulinzi na usalama wa wananchi na raslimali zetu zisiibwe na wageni na watu wa ndani wenye uchu na mali pasi kuwa na utaratibu unaonufaisha wananchi wote. Ndiyo maana linaitwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.

Sijui kama ntakuwa nimekushawishi mkuu lakini ni imani yangu na msimamo wangu kuwa endapo mambo ya ndani yanakuwa shaghara baghara, lazima Jeshi lisimame kidete kuhakikisha tunarudi kwenye mstari (ndo maana nchi zingine na hata hapa kwetu in 80's mapinduzi yanatokea ili kulinusuru taifa na walanguzi na wachuuzi wa raslimali zetu).

Si lengo langu kuwakejeli ama kuwalaumu wanajeshi wetu waliofia Sudan, ila kukumbusha tu kuwa hata ulinzi wa raslimali za watanzania zinazoibwa na wachache nalo ni jukumu lao pia. Tusisafishe kwa wengine tu alhali kwetu kunaharibika (Tuondoe kibati jichoni mwetu kabla ya kuondoa machoni kwa majirani).
Aksante mkuu.
[/QUOTE]

Hujui unachooengea kabisa..., hujua mipaka ya mamlaka, hujui chain of command na hujui kujenga hoja.., childish comments...,

pata elimu, tpdf.mil.tz utapata mengi unayojifanya unayajua kumbe hujui.., utaona ukubwa wa majukumu ya jeshi na mipaka yake..,
 
Back
Top Bottom