Moshe Dayan
JF-Expert Member
- Feb 10, 2008
- 815
- 698
- Thread starter
- #61
Duu hili jeshi limeshindwa kulinda mpaka wetu na Malawi linakwenda Sudan RIP masoja mliopoteza maisha
Nilivyoileta ishu ya malawi hapa jf kabla hata membe hajatoa tamko bungeni, nadhani kwako ilikua breaking news ila kwa wenye kazi zao tayari walikua tayari for anything kutoka malawi