networker
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 570
- 215
Tz ni mshirika mkubwa wa marekani na Marekani ndio ilio kuwa engine ya vita vya kuondoa utawala wa Gaddafi, na tusinge weza ku mpinga Marekani kwani kila kitu tuna tegemea kutoka kwake, misaada kibao. Pia nani atatujengea Kigamboni kama tukimpinga yeye na washirika wake NATO?
pTz ina kumbuka Gaddafi alivyo taka kumsaidia iddi Amini dada kupigana na Tz hadi pale makomando wa kitanzania walipo fanikiwa kuteka ndege ya libya ilio taka kumsaidia iddi amini.
hHvi vyote ndio nguzo kubwa ya kwa nini Tz imemtosa Gaddafi AU
pTz ina kumbuka Gaddafi alivyo taka kumsaidia iddi Amini dada kupigana na Tz hadi pale makomando wa kitanzania walipo fanikiwa kuteka ndege ya libya ilio taka kumsaidia iddi amini.
hHvi vyote ndio nguzo kubwa ya kwa nini Tz imemtosa Gaddafi AU