Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,733
- 10,940
Nikiri wazi na mimi ni mmoja wao wa watu waliokuwa wakiona mahiga ana akil sanaa.Mahiga alisifiwa sana ooh mzee yule anaonekana ana busara sana sijui nini,haya sasa kazi kazi.
Watu wa chama kile wote wanafanana wanavyofikiria,wanavyotenda etc
Hebu nambie kwani katika hil anahusikaje mzee??